• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

TRC NA MIKAKATI YA UREJESHO WA HALI ZA MAISHA KATIKA MRADI WA SGR MANYONI

Imewekwa Mtandaoni mnamo: December 23rd, 2020

Shirika la Reli Tanzania (TRC) kupitia mzimamizi wa masuala ya kijamii Bi. Joyce Ponela wamefanya utambulisho rasmi wa program ya urejesho wa hali za Maisha kwenye mradi wa SGR katika maeneo unayopita katika halmashauri ya wilaya ya Manyoni, kikao ambacho kilihudhuriwa na Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Manyoni Ndugu Charles Edward Fussi Pamoja na Maafisa maendeleo ya jamii, Afisa Kilimo, Afisa Mifugo, Afisa Ardhi na Maliasili, Afisa mipango na Meneja wa SIDO mkoa wa Singida Bi. Agnes Yesaya.

Akiwasilisha programu hiyo kwa Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Manyoni Ndugu Charles Edward Fussi, Bi. Joyce Ponela kutoka TRC alisema program hizo zinalenga kuhakikisha Maisha ya watu walioathirika na kupisha mradi wanapata hali nzuri za Maisha baada ya athari hizo, ambapo alifafanua kuwa lengo la kualika watui wa SIDO na VETA ni kuwajengea uwezo kwa waathirika kupitia wataalamu wa Halmashauri ambao ndio waratibu wa shughuli mbalimbali zitakazoendeshwa kwenye utekelezaji wwa mradi.

TRC wamefafanua kuwa Mikakati mitano inayolengwa Zaidi katika program hii ni Pamoja na Mafunzo kwa waathirika waliopitiwa na mradi kwenye masuala ya usimamizi wa fedha baada ya kulipwa fidia, Upatikanaji wa ardhi inayobadilishwa na mmiliki wa ardhi ambapo mkakati umewalenga waathirika kupata elimu ya urasimishaji wa maeneo ili kupata hati miliki ili maeneo mapya watakayopata yaweze kuwa na tija Zaidi.

Mkakati mwingine ni mpango wa matarayisho ya ardhi ili kuongeza tija ya uzalishaji kwenye kilimo, Uhamishaji wa mifungo na upatikanaji wa malisho na maji kwa wafugaji Pamoja na  Ujasiriamali na Stadi za Maisha Pamoja na ufundi kwa waathirika wa maeneo ya biashara.

Akitoa maneno ya Shukrani, Halmashauri ya Manyoni Ndugu Charles Edward Fussi, alisema kuwa anafurahi kwa mradi wa reli kuwajali wananchi na hasa Serikali kupitia TRC kuona umuhimu wa kutoa elimu hiyo yenye mikakati ambayo ina lengo la kuleta tija kwenye maendeleo ya wananchi wanaopitiwa na mradi wa reli ya Kisasa na ameahidi kutoa ushirikiano katika hatua zote

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2020 January 15, 2021
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa kidato cha pili (FTNA) 2020 January 15, 2021
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Darasa la nne (SFNA) 2020 MANYONI January 15, 2021
  • JINSI YA KUPATA SHAMBA LA KOROSHO MSIMU WA 2019/2020 May 13, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Waziri Aweso atoa siku saba Mkandarasi wa Mradi wa Maji Manyoni kulipwa.

    February 26, 2021
  • Viongozi wa Urambo watembelea Kilimo cha Korosho Manyoni

    February 25, 2021
  • CHUO CHA UFUNDI MANYONI KUIBUA VIPAJI VYA VIJANA

    February 15, 2021
  • Wajasiriamali wakumbushwa kurejesha mikopo ya asilimia 10 ya Halmashauri

    February 08, 2021
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni

    Sanduku la Posta: S.L.P 60, Manyoni

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 712 028027

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.