• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

KILIMO CHA PAMOJA CHA KOROSHO

Halmashauri  ya Wilaya ya Manyoni kwa kipindi kirefu haikuwa na zao la kudumu la biashara wananchi waliuza mazao ya chakula ili kupata kipato. Hivyo zao la korosho llimewekewa mkakati madhubuti wa kuliendeleza zao hili kwani litakuwa  mkombozi wa wakulima kwa kipato na usalama wa chakula.

Watekelezaji wakuu wa mradi ni wakulima, Halmashauri ya Wilaya, Bodi ya Korosho na Watafiti wa Kanda ya Kati na Naliendele Mtwara. Eneo lililotengwa kwa ajili ya kilimo hiki ni ekari 12,000  katika vitongoji viwili vya  Masigati na Kinangali. Aidha, upandaji katika shamba hili ulianza Msimu wa kilimo 2017/2018  na kuendelea  katika msimu huu 2018/2019  na jumla ya ekari 5,762 zitakamilika kupandwa hadi kumalizika kwa msimu huu


FAIDA ZA MRADI  

Chanzo kikuu cha malighafi za viwanda vya kusindika korosho

Kuwepo kwa mradi kutaongeza idadi ya wakulima  wanaoshiriki katika uzalishaji wa zao la korosho

  • Ongezeko la kipato kwa  wakulima wa  eneo husika 
  • Hali ya maisha kuboreka ikiwa ni pamoja na ujenzi wa nyumba bora, ongezeko la kusomesha watoto na kumudu  huduma za afya
  • Kuongezeka kwa uhakika wa chakula katika kaya  kwani wataepuka kuuza mazao ya chakula,
  • Kupatikana kwa ajira kwa wananchi mbalimbali
  • Chanzo cha mapato ya ndani ya Halmashauri
  • Ongezeko la matumizi ya zana na pembejeo  za kisasa za kilimo.


WANUFAIKA WA MRADI

  • Wakulima wa ndani na nje ya mradi
  • Halmashauri ya Wilaya
  • Serikali kuu
  • Wafanya biashara wa ngazi mbalimbali
  • Mawakala wa pembejeo za kilimo

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA NAFASI YA UTENDAJI WA KIJIJI MANYONI DC May 25, 2022
  • JINSI YA KUPATA SHAMBA LA KOROSHO MSIMU WA 2019/2020 May 13, 2019
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWAJA October 28, 2021
  • Fomu ya Maombi ya kupimiwa mashamba ya Korosho April 18, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MAHENGE ASISITIZA USHIRIKIANO

    May 11, 2022
  • MANYONI SASA KUUZA KOROSHO KWA NJIA YA MNADA

    April 05, 2022
  • mil.300 kujenga jengo la dharula

    March 16, 2022
  • SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

    March 10, 2022
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni

    Sanduku la Posta: S.L.P 60, Manyoni

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 712 028027

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.