• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

BARAZA LA MADIWANI LIMEMCHAGUA MHE. EZEKIEL SAMWEL EZEKIEL DIWANI WA NKONKO KUWA MAKAMO MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MANYONI.

Imewekwa Mtandaoni mnamo: August 25th, 2023

BARAZA la Madiwani katika Halmashauri ya Manyoni, limemchagua diwani wa Kata ya Nkonko, Mhe. Ezekiel Samwel Ezekiel , kuwa Makamu Mwenyekiti mpya wa halmashauri hiyo, kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2023/2024, akichukua nafasi ya diwani wa Kata ya Heka, Haruna Chimanga.


Ezekiel aliyekuwa mgombea pekee, ameshinda kwa kura zote za ndiyo, kutoka kwa madiwani 25 wa halmashauri ya Manyoni, hivyo kupata ridhaa ya kuongoza nafasi hii kwa kipindi cha mwaka mmoja.


Nafasi hiyo awali ilikuwa inaongozwa na diwani wa Kata ya Heka, Mhe. Haruna Chimanga, tangu mwaka 2020, kabla ya kumaliza muda wake na kumpisha Makamu Mwenyekiti mpya, ambaye ni diwani wa Kata ya Nkonko, Ezekiel.


“Kipekee ninakishukuru Chama Cha Mapinduzi, Mwenyekiti na Katibu, waheshimiwa madiwani wote kwa kuteua Jina langu kwenye Chama ili kugombea nafasi hii na niwashukuru tena Madiwani kwa kunipa kura zote, niwashukuru pia wakuu wa vitengo na divisheni, ahsanteni sana, naahidi kishirikiana nanyi kikamilifu ili kuhakikisha tunaleta maendeleo katika Halmashauri yetu. Alisema Mhe. Ezekiel


Makamu Mwenyekiti ameahidi kuwatumikia kwa haki bila ya ubaguzi madiwani na wananchi, kwa kushirikiana na serikali na wadau mbalimbali, ameahidi kuipaisha Halmashauri ya Manyoni katika maendeleo yaliyokusudiwa, kulingana na mipango iliyoandaliwa.


Awali Mwenyekiti wa uchaguzi huo, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Manyoni, Mhe. Jumanne Mlagaza, alimpongeza Makamu Mwenyekiti mpya, kwa kushinda nafasi hiyo, na kumtakia kila la heri katika majukumu yake mapya ya kuwatumikia wananchi.


Aidha Mwenyekiti wa Halmashauri, alitumia nafasi hiyo kumshukuru aliyekuwa Makamu Mwenyekiti (Mhe. Haruna Chimanga), kwa utumishi wake uliotukuka  kwa kipindi chote cha uongozi wake, kwa kumsaidia  sana katika kutekeleza kazi za kila siku.


“Ulipokuwa msaidizi wangu, ulitumia nafasi yako vizuri na kwa kweli ulinisaidia sana, ahsante sana kwa busara zako, naomba uendelee kumsaidia Makamu Mwenyekiti mpya, pale atakapohitaji msaada wako,”alisema Mwenyekiti


Baraza hilo liliofanyika jana kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Manyoni, pia lilichagua wajumbe wa kamati mbalimbali kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2023/2024, ikiwemo kamati ya Fedha, Elimu, Afya na Maji, Kamati ya maadili na ile ya Uchumi, Ujenzi na mazingira.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.