• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

"HODI MANYONI" DC MASHINJI

Imewekwa Mtandaoni mnamo: August 13th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mhe. Dkt Vincent Mashinji amefanya kikao na Watumishi wote wa Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni,KU pamoja na Wakuu wa Taasisi zote zilizopo Wilaya ya Manyoni.


Kikao hiki kimefanyika tarehe 12 Agosti 2024 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni na Lengo kuu ikiwa ni Kujitambulisha na kufahamiana.

Akizungumza wakati wa kikao hicho Dkt Mashinji amesema Mambo makuu kadhaa ya Watumishi kuzingatia wakati wa Utendaji kazi kipindi yeye akiwa  Mkuu wa Wilaya Manyoni


" Naomba mzingatie yafuatayo kwanza kila mtumishi atambue yeye ni mwakilishi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa sehemu yake hivyo anapaswa kumlinda Mhe Rais na kulinda Taswira yake kwa kuwajibika ipasavyo kwenye nafasi yake,

Pili Kukusanya Mapato ni wajibu wa kila mmoja wetu hivyo tujitahidi Kukusanya Mapato na kusimamia ukusanyaji wa mapato"

Sambamba na hilo Dkt Mashinji amewakumbusha Watumishi kuzingatia suala la Lishe maana ni ajenda ya Mhe. Rais kwa kuhakikisha wananchi wanapata Lishe Bora na wanafunzi mashuleni wanapata chakula pindi wanapokua shule.


Vile vile Mhe. Dkt Mashinji amewataka Watumishi wa Wilaya ya Manyoni kusimamia miradi ya Maendeleo vizuri na kuhakikisha miradi hiyo  inakamilika kwa wakati na inakua na ubora unaolingana na thamani ya Fedha zinazotolewa na Serikali.

Pia Dkt Mashinji amewataka Watumishi wote kujiendeleza Kielimu kila mmoja alipoishia


" Ninawaomba kila mmoja alipoishia Kielimu ahakikishe anaendelea kusoma usiridhike na Elimu uliyonayo jiendeleze maana Siku hizi unaweza soma hata ukiwa Nyumbani"

Kwa Upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Bi Anastazia Tutuba amemkaribisha Mkuu wa Wilaya Mhe. Dkt Vincent Mashinji kwa niaba ya Watumishi wote

"Kiongozi wetu tunakukaribisha sana Manyoni Tunaahidi kukupa ushirikiano Ili kuijenga Manyoni yetu"


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.