• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

"IMARISHENI CHAMA ILI KUSHINDA NGAZI ZOTE ZA UONGOZI"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: May 10th, 2024

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Taifa ALLY HAPI amewataka Viongozi Chama cha Mapinduzi CCM na Jumiya zake kujipanga na kuweka mikakati ya kuhakikisha wanaimarisha Chama ili kushinda ngazi zote za Uongozi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika mwaka huu na uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.


HAPI alitoa wito huo wakati akizungumza na Wananchi wa kijiji cha Kintinkuu wilayani Manyoni, mkoani Singida akiwa katika Ziara yake ya kikazi mkoani hapa ya kuimarisha Jumuiya hiyo na Chama cha Mapinduzi.


Alisema ni muhimu sana kwa Jumuiya zote za Chama cha Mapinduzi na Chama kwa jumla kuhakikisha uchaguzi unapofika kusiwe na dosari yoyote itakayosababisha kupoteza baadhi ya ngazi za uongozi na badala yake ngazi zote za uongozi ziwe chini ya CCM.


HAPI pia alisema ili kuhakikisha chama kinakuwa imara na Jumuiya zake ni lazima Viongozi wa CCM wayasema mazuri yanayofanywa na Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN kupitia Ilani ya CCM.


Alisema Miradi mingi imekamilika na kuwa mkombozi kwa wananchi katika kutoa huduma kwa wananchi chini ya Rais Dkt SAMIA SULUHU HASSAN, hivyo ni muhimu wananchi wakaamua hayo.


Aidha HAPI aliwataka Viongozi wa Chama cha Mapinduzi - CCM kuendelea kuhakikisha wanasima utekelezaji wa Ilani ya CCM kwenye ngazi zote ili kuhakikisha Miradi yote iliyobakia inakamilishwa kwa wakati.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Singida BERTHA NAKOMOLWA alisema Jumuiya hiyo imejipanga kikamilifu kuhakikisha ina kuwa imara mkoani hapo, kwa kuhakikisha uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchungu Mkuu wa 2025 CCM inashinda kwa kishindo.


NAKOMOLWA aliongeza kuwa Jumuiya hiyo pia itahamasisha wanawake wajitokeze kwa wingi kuchukua Fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika maeneo yao ili waweze kushiriki katika ngazi mbalimbali za maamuzi.


Alisema pia Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Singida inaendelea na ujenzi wa nyumba za watumishi wa Jumuiya hiyo kila Halmashauri, ambapo baadhi ya halmashauri tayari nyumba hizo zimekamilika na watumishi wameanza kuishi kwenye nyumba hizo.


Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Singida waliishukuru Serikali kwa kuendelea kuleta maendeleo kwa wananchi kwa kutekeleza Miradi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.