• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

“KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: May 4th, 2023


Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Mhe. Jumanne Shabani Mlagaza amaeiongoza kamati  hiyo  ya Fedha, Uongozi na Mipango kukagua Miradi Mbalimbali iliyopatiwa Fedha kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023.



 Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya Makuru, Ujenzi wa Soko Sukamahela, Ujenzi wa Vyoo shule ya Msingi Mbwasa, Ujenzi wa Zahanati Mbwasa, Ujenzi wa Hosteli Shule ya Sekondari Sasajila, Ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa Shule ya Sekondari Nkonko, Kikundi cha Vijana Kijiji cha Ipanduka, Ujenzi wa vymba vya madarasa 4 shule ya Sekondari Isseke, Ujenzi wa vyumba 6 vya madarasa Shule ya Sekondari Sanza na Ujenzi wa Kituo cha Afya Sanza.


Hatua za Ujenzi Kituo cha Afya Makuru



Hatua za ujenzi Soko la Kijiji Sukamahela



Ujenzi wa Zahanati Mbwasa


Mhe. Mlagaza amesema Miradi hii kwa Ujumla inaendelea vizuri na kwakweli mmesimamia vyema lakini naendelea kusisitiza viongozi kushirikiana kwa kila hatua za ujenzi, Na pia Fedha mnazopata hakikisheni mnazifanyia kazi zilizoainisha kwenye muongozo wa mapokezi ya fedha hizo na kama kutakua na haja ya kubadili matumizi ya fedha basi ufuatwe Muongozo na Taratibu za Fedha.


Ujenzi wa Hosteli Shule ya Sekondari Sasajila


Pia Viongozi hakikisheni Miradi inakamilika kwa haraka pindi tuu mnapopatiwa fedha hizo na wananchi wanajitolea ili kupunguza garama za vitu ambavyo jamii wanaweza kushiriki shughili hizo ili miradi hii ikamilike kwa fedha mlizopatiwa.Alisisitiza Mhe Mlagaza.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.