• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

“MKAWE WALINZI WAZURI WA AMANI” DC MANYONI

Imewekwa Mtandaoni mnamo: November 16th, 2023


Haya yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Mnyoni Mhe. Kemirembe Lwota mgeni rasmi kwenye Hafla ya kufunga mafunzo ya Awali ya Jeshi la Akiba yaliyofanyika tarehe 15 Novemba 2023 katika viwanja vya Jumbe Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.


“Niwapongeze Wakufuni kwa kuwapa Mafunzo haya ya Awali ya Jeshi la Akiba lakini niwapongeze wazazi kwa kukubali na kuwaruhusu vijana hawa kujiunga na mafunzo haya yanayokwenda kuwasaidia ninyi kipekee lakini pia kusaidia jamii lakini vile vile niwashukuru wote kwakuacha shughuli zenu na kuja kushiriki hafla hii ya vijana hawa wanaomaliza mafuno yao leo hii.”

“Kipekee niwapongeze vijana 85 mnaomaliza mafunzo haya leo hii na Niwaase mkawe wazuri wa Amani kwa Taifa lenu, Mtapewa mafunzo ya kukamata sawa na Askari asie na cheo ili mkasimamie amani na haki katika jamii yetu, Mkatimize wajibu wenu wa kulinda watu na mali zaona msitumie vibaya mamlaka mliyopewa”.Amesisitiza Mhe. Kemirembe

Mhe. Kemirembe amesema “Tushiriiane kwa pamoja ii kuleta Amani ya Manyon yetu hii sio kazi ya jeshi la Polisi pekeyao au Jeshi la Akiba pekeyao hili ni jukumu letu sote wananchi wa Manyonni hivyo tushirikiane ili tuweze kuwa salama kwa maendeleo ya Manyoni yetu.”

“Wote tuliopo hapa leo Nawaasa kuwa Mabalozi wazuri kuelimisha na wengine kuchukua tahadhari juu ya Magonjwa ya mlipuko kwani katika Mkoa wa Singida imeripotiwa kuwepo kwa ugonnjwa wa kipindupindu, hivyo tuchukue tahadhari kwakuhkikisha maeneo yetu yanakua safi na kuhakikisha tunanawa mikoni kwa maji tiririka tunapotoka chooni ili kujikinga na Magonjwa haya ya Mlipuko.”


Naye Luteni Kanali Enock Wiliam Liwembe Mshauri wa Jeshi la Akiba Wilaya ya Manyoni Amesema; Vijana hawa wanaomaliza leo mafunzo haya ya jeshi la Akiba tumewafunza Utii, tabia njema, Ulinzi kwa taifa lao, Mafunzo ya Mapigano, Bidii kwenye Utendaji kazi, kupiga shabaha, Mafunzo ya majeshi jiran kama Usalama, Polisi, Zima moto na Uhamiaji.

Wanahitimu Askari wa Jeshi la Akiba 85 ikiwa wanawake 22 na wanaume 63 walioanza mafunzo haya tangu tarehe 03 Julay 2023 na yamedumu kwa takribni miezi mine na leo tarehe 15 Novemba wanahitimu wakiwa na ujuzi wa kutosha tayari kulitumikia Taifa lao.


Imetolewa na

Kitengo cha mawasiliano Serikalini

Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.

 


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.