• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

"MRADI WA KIZAZI HODARI KUNUFAISHA WALENGWA 1779 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MANYONI"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: November 24th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni ni miongoni mwa Halmashauri 26 zinazotarajia kutekeleza mradi wa KIZAZI HODARI. Mradi wa KIZAZI HODARI ni mradi unaofadhiliwa na USAID wenye lengo la Kuimarisha Afya, Ustawi na Ulinzi kwa Watoto wanaoishi katika mazingira Hatarishi (WWKMH) na Vijana wenye umri 0-17 ili kufikia malengo ya Dunia ya Kupambana na Virusi vya Ukimwi (VVU) kwa asilimia 95.

Kikao cha Uzinduzi wa Mradi huu katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni kimefanyika leo tarehe 24 Novemba 2022 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.



Meneja Mradi kanda ya kati Ndg Issa Murshid amesema mradi huu unatarajia kunufaisha walengwa 1779 katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, Aliongeza kwa kusema mradi huu unatekelezwa katika Mikoa 7 na Halmashauri 26 lakini pia imegawanywa katika Kanda mbili yani kanda ya Kati yenye makao makuu yake Dodoma na kanda ya Kaskazini makao yake yakiwa Arusha. Mikoa hiyo 7 ni Dodoma, Morogoro, Tanga, Arusha,Manyara, Kilimanjaro na Singida na Kwa mkoa wa Singida utatekelezwa katika Halmashauri ya Manyoni na Halmashauri za Ikungi, Iramba na Manispaa ya Singida.


Mradi huu kwa Mikoa yote saba (7) Utagarimu kiasi cha Dola za kimarekani zipatazo Milioni 27 Umefadhiliwa na Shirika la Maendeea ya Kimataifa la Marekani (USAID) na Kusimamiwa na kutekelezwa na Kanisa la kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) na utatekelezwa ndani ya miaka mitano (5) yani kuanzia 2022 na kumalizika 2027.



Akizungumza wakati wa kufungua kikao hiki cha uzinduzi wa Mradi wa KIZAZI HODARI Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Mh Jumanne Mlagaza alisema; Mradi huu wa KIZAZI HODARI tunauzindua leo katika Halmashauri yetu na sote tuliopo hapa sasa tuna wajibu wa kwenda kuusimamia kwa nafasi zetu ili kufikia lengo linalotarajiwa katika mradi huu.Ni matumaini yangu tutakwenda kufanya vizuri katika utekelezaji wa Mradi ili kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya sita chini ya Mh Samia Suluhu Hassan.


 



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.