• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

""TUNZENI MIUNDOMBINU HII YA MAWASILIANO""

Imewekwa Mtandaoni mnamo: May 14th, 2024


Haya yamesemwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano Mhe. Maryprisca Mahundi (Mb) Jana tar 13 Mei 2024 kwenye ziara yake alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa mnara wa Mawasiliano Igwamadete Kata ya Isseka Wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida

"Rais wetu Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan anatupenda sana ameona namna tulikua tunapata shida watu wa ukanda huu katika Mawasiliano, sasa ametuletea mnara ambao unaenda kutatua tatizo la Mawasiliano Igwamadete na vijiji jirani hivyo Rai yangu kwenu ni kuhakikisha Miundombinu hii inatunzwa vizuri ili isiharibike tuendelee kupata Mawasiliano vizuri.

Mhe. Mahundi pia alisema "Mhe Rais amefanya mambo mengi sana katika sekta mbalimbali kama Elimu, Afya, Mawasiliano, Uchukuzi na sekta zingine hata sisi wote ni mashahidi hivyo tunapaswa kumshukuru sana Rais wetu na kuunga mkono juhudi zake na kuhakikisha 2025 anashinda kwa kishindo.

Sambamba na hili Mhe. Mahundi alisema "Mwaka huu tuna uchaguzi wa Serikali za mitaa na Mwakani uchaguzi mkuu tushiriki vizuri katika chaguzi hizi na kuhakikisha tunachagua viongozi Wazuri watakaotusaidia lakini tuendelee kukianini Chama cha Mapinduzi kwani chini ya Mwenyekiti wake Dkt Samia Suluhu Hassan mambo tunayaona".

Pia niwaombe wananchi kuhakiki anuani zetu za makazi Ili kurahisisha Mawasiliano yetu.


Naye Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mhe. Kemirembe Lwota aliwashukuru wananchi kwa kuhudhuria mkutano huo na kwa burudani mbalimbali lakini pia Alimshukuru Mhe. Naibu Waziri wa Mawasiliano kwa kutenga muda wake kufika kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa mnara huo.

Kwa Upande wake Dkt Pius Chaya Mbunge wa Jimbo la Manyoni Mashariki alishukuru pia Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mama yetu Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa kuhakikisha wananchi wangu wa Jimbo la Manyoni Mashariki wanapata Mawasiliano vizuri

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.