• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

"TUPINGE UKATILI KWA WANAWAKE" DC MANYONI.

Imewekwa Mtandaoni mnamo: March 8th, 2023

Haya yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mhe. Kemirembe Lwota Mgeni rasmi kwenye kilele cha Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani tarehe 08 machi 2023 Kiwilaya yaliyofanyika katika Kata ya Nkonko Halmashauri ya Wilaya ya Manyaoni.


"Jamii nawaomba sana kupinga ukatili kwa wanawake kwani jambo hili ni baya sana katika jamii, tutaendelea kuelimisha juu ya kupinga ukatili wa wanawake na kwa watakaoonekana wanafanya hivyo hatutasita kuwachukulia hatua stahiki. Mwanawake wanaweza sana hivyo tuwape fursa sawa na wanaume katika kutoa mawazo, maamuzi na kuongoza pia kwani tunaona viongozi wakubwa katika nchi hii ni wanawake na wanafanya vizuri sana katika kulitumikia taifa. Mfano Raisi wetu Mhe. Dtk Samia Suluhu Hassani tunaona namna anavyoendesha nchi na maendeleo makubwa tunapata.

"Leo ni siku ya kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani naomba siku hii ikawe chachu kwa jamii kumuheshimu mtoto wa kike kwa kuhakikisha inamlinda na anapata haki zake zote za msingi ikiwemo elimu , nafasi ya kufanya maamuzi, nafasi ya kuongoza, nafasi ya kusikilizwa na mengineyo kwenye jamii, Atakaebainika anafanya  vitendo vya ukatili kwa wanawake hatua kali zitachukuliwa dhidi yake". Alisisitiza Mhe Kemirembe.


Mhe. Kemirembe amesema Kauli mbiu ya Siku ya Wanawake Duniani mwaka huu 2023 ni “Ubunifu na Mabadiliko ya Teknolojia Chachu katika kuleta Usawa wa Kijinsia”  basi ikalete mabadiiko kweli kwenye jamii kwa kuleta usawa wa jinzi ya kike na jinsia ya kiume na niwaombe sana kuitumia vizuri mabadilko haya ya teknolojia kwa maslahi mapana na jamii yetu ya sasa na kizazi kijacho.


Maadhimisho haya ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kiwilaya katika Kata ya Nkonko pia yaliambatana na Burudani mbalimbali zilizotolewa na washiriki wa maadhimisho hayo kama vile mashairi, kwaya, Bongo fleva, Ngoma za asili lakini pia kulikua na mechi kirafiki ya mpira wa pete kati ya timu ya wanawake kutoka Nkonko na timu ya wanawake kutoka Sanza na Timu ya wanawake kutoka Nkonko iliibuka kidedea kwenye mechi hiyo ya kirafiki.




 


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.