• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

*""TUSHIRIKIANE KUSIMAMIA MIRADI YA SERIKALI"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: May 15th, 2024



Haya yalisemwa na Mhe. Jumanne Mlagaza Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Leo tarehe 14 Mei 2024 Kwenye Ziara yake Alipotembelea na Kukagua Miradi ya Maendeleo iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni


Miradi liyotembelewa na kukaguliwa ni pamoja na Ujenzi wa Nyumba ya Mkurugenzi, Ukarabati wa Hospitali ya Wilaya, Ujenzi wa Bwalo Solya Sekondari ya Wasichana na Ujenzi wa Vyumba 3 vya Madarasa na Matundu 8 ya Vyoo vya Wanafunzi, Ujenzi wa Matundu 3 ya Vyoo vya Walimu, Ujenzi wa mabweni 2 Chikuyu Sekondari.


"Twendeni Tukafanye Kazi, Tukasimamie Miradi kwa Umakini wa Hali ya Juu kwa kutumia Miongozo tulio patiwa katika Ujenzi wa Majengo ya Serikali pia Kamati za Ujenzi pamoja na Viongozi wa Serikali ya Kijiji na Kata Tembeleeni Miradi Msiwaachie mafundi, Hakikisheni Ubora wa Vifaa  Vinavyotumiaka Ili majengo tunayojenga yawe imara na yakamilike kwa wakati unaotakiwa, Alisema Mhe Jumanne Mlagaza


Pamoja na Hayo Mjumbe wa Kamati ya Fedha Mhe. Robert Chanzi aliomba Kamati za Ujenzi "TUONDOKE PAMOJA NA KWA UMOJA LAKINI SIO TUONDOKE KWA PAMOJA LAKINI SIO KWA UMOJA" Toeni taarifa Ya kila jambo linaloendelea katika Miradi yenu ili Maamuzi Mengine yasije kuleta Sitofahamu


Lakini pia Upande wake Mhe. Benjamin Kamoga  mjumbe Ameomba wataalamu kuhakikisha wanatembelea Mara kwa Mara Miradi ya Ujenzi inayoendelea Wilayani Ili kuendelea kuhakikisha ubora wa miradi hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.