• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

"UMOJA NI MOJA YA TUNU YA TAIFA LETU HIVYO TUNA JUKUMU LA KUUENDELEZA"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: June 25th, 2025

Mhe. Dkt Vincent Mashinji Mkuu wa Wilaya ya Manyoni ameongoza Kikao cha Viongozi wa Dini na Wazee Maarufu kilichofanyika tarehe 24 Juni 2025 katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

Dkt Vincent Mashinji amewaomba Viongozi wa Dini kuendelea kuhamasisha waumini kuwa na Umoja kwani ni moja ya Tunu ya Taifa letu.


"Ninawaomba sana Viongozi wa Dini kuendelea kuwahubiria waumini kuwa na Umoja kwani Umoja huleta Amani na Utulivu kwenye Taifa letu hasa katika kipindi hiki kinachoendea Uchaguzi Mkuu Ili watu wawe na Utulivu na Amani"

Sambamba na hilo Dkt Mashinji amewasisitiza Viongozi wa Dini na Wazee Maarufu kuendelea kuimuunga mkono Serikali ya Awamu ya sita Chini ya Rais wetu wa Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Juhudi  kubwa za Maendeleo katika Maeneo yetu na Tuliombee Taifa letu pamoja na Viongozi wetu"

Pia Dkt Mashinji amewafahamisha Viongozi wa Dini na Wazee Maarufu juu ya Maandalizi ya Mapokezi ya Mbio za Mwenge wa Uhuru Katika Wilaya ya Manyoni kuwa tarehe 24 Julai 2025 tutaupokea Mwenge wa Uhuru Katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni na tarehe 25 Julai 2025 katika Halmashauri ya Itigi.

"Tunatarajia kupokea Mwenge wa Uhuru Katika Wilaya yetu ya Manyoni tarehe 24 Julai 2025, na kama tunavyofahamu tuna Halmashauri mbili hivyo tarehe 24 Julai tutaukimbiza katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni na tarehe 25 Julai katika Halmashauri ya Itigi hivyo Watangazieni waumini wenu kushiriki Mapokezi haya ya Mbio za Mwenge "


@ikulu_mawasiliano

@ortamisemi

@ofisi_ya_makamu_wa_rais

@owm_tz

@singidars

@halimadendego

@drmashinjivincent

@anastaziatutuba

@manyonidc

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA GOTHOMIS NA GePG

    June 25, 2025
  • "LAZIMA TUTANGAZE UTAJIRI TULIONAO MANYONI" DED TUTUBA

    June 25, 2025
  • "LAZIMA TUTANGAZE UTAJIRI TULIONAO MANYONI" DED TUTUBA

    June 25, 2025
  • "UMOJA NI MOJA YA TUNU YA TAIFA LETU HIVYO TUNA JUKUMU LA KUUENDELEZA"

    June 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.