• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

"VIKUNDI VYA VIJANA NA KINA MAMA STANDI MANYONI VIKAGULIWE ILI VIWEZE KUPATA MKOPO

Imewekwa Mtandaoni mnamo: November 4th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Rahabu Mwagisa ametoa agizo hilo kwa Afsa Maendeleo wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni kuhakikisha anatembelea vikundi vya kina mama na vijana wajasiriamali wanaofanya biashara zao ndani ya Standi ya Wilaya ya Manyoni na kuvikagua kuhakikisha vikundi hivyo ili waweze kupatiwa Mikiopo ya Asilimia 10 inayotolewa na Serikali kupitia Halmashauri zote bila riba. 

Mh Mwagisa ameyasema haya alipotembelea standi hiyo ya Manyoni tarehe 03 Novemba 2022 ikiwa ni muendelezo wa Ziara yake. Sambamba na Hilo Mkuu wa Wilaya amewaahidi Wanachi kusimamia na kuhakikisha mazingira ya standi hiyo yanaboreshwa haraka iwezekanavyo ikiwa ni pamoja na Barabara kutengenezwa, Vyoo kuboreshwa, Wajasiriamali kupata vibanda, Taa kuwekwa na pia kuhakikisha Magari yote yanaingia standi na sio kupakia  na kushusha nje ya standi.

Kina mama na Vijana Wajasiriamali Stand ya Manyoni.


Baada ya kuzungumza na Wajasiriamali standi ya Manyoni Mh Mwagisa alienda kufanya mkutano wake wa hadhara katika viwanja vya mnadani Majengo ili kusikiliza na kutatua kero za wananchi hao.Moja ya kero iliyojitokeza sana kwa wakazi wa majengo ni Ardhi na Fidia kwa mradi unaoendelea wa SGR na wananchi walitatuliwa kero zao papo hapo kwakua wakuu wa Taasisi hizo walikuepo kwaajili ya kutatua kero hizo za wananchi.




Mh Mwagisa akizungumza na wananchi.

Wananchi mbalimbali waliohudhuria mkutano wa hadhara.


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Manyoni  Mh Jumanne Mankanda alipata fursa ya kuzungumza na wananchi na Kuahidi kuendelea kuisimamia na kuishauri Serikali ili kutatua kero za Wananchi na kuleta Maendeleo

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.