• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

“Viongozi mbalimbali na Wadau wa elimu kutoka halmashauri zote za mkoa wa Singida wapatiwa mafunzo kuhusu uboreshaji ufundishaji na ujifunzaji jumuishi"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: August 2nd, 2023


Mafunzo haya yametolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muugaano wa Tanzania chini ya Wizara ya Elimu na Ofisi ya Raisi kupitia programu ya Shule Bora.Mafunzi haya yameanza tarehe 31 julai hadi tarehe 03 agosti 2023 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.


Akizungumza katika Uzinduzi wa Mafunzo hayo kwa niaba ya Afisa Elimu Mkoa Bi. Regina Yaghambe Amesema;Awali ya yote, napenda nimshukuru Mungu aliyetujalia uhai na kutuwezesha kuwepo hapa leo,Nipende pia kuishukuru Wizara ya Elimu na Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa kuandaa mafunzo haya ambayo yanaratibiwa na kufadhiliwa  kupitia programu ya Shule Bora.

Niwashukuru pia ninyi washiriki kwa kufika na kwa namna ya pekee niwashukuru sana wawezeshaji wetu kwa kukubali kuleta mafunzo haya katika Mkoa wetu wa Singida, Pia niwashukuru wafanya kazi wa programu ya Shule Bora kwa kuendelea kushirikiana nasi katika masuala yote ya Elimu katika Mkoa wetu. Alisema Bi.Regina

Bi.Regina Yaghambe Alisema  Mafunzo haya yanayohusu Elimu jumuishi ni muhimu sana kwa sababu yanatujenga sisi watendaji kufahamu mbinu bora za kuboresha ufundishaji na ujifunzaji wa wanafunzi wa makundi yote kumi na matatu (13) kama yanavyotambuliwa na Mkakati wa Taifa wa Elimu Jumuishi  wa Mwaka 2021/22 hadi 2025/26.Ni Dhahiri kwamba madarasa yetu yana wanafunzi wenye mahitaji tofauti ya ujifunzaji,  na wote wanatakiwa wapate elimu bora.


Mafunzo haya yatawajengea washiriki ambao ni walimu uwezo wa kutumia mbinu za ufundishaji na ujifunzaji jumuishi ili kuleta matokeo chanya ya ujifunzaji kwa wanafunzi wote kwa kuzingatia mahitaji yao na viongozi wa elimu watawezeshwa namna bora ya kusimamia na kuratibu mafunzo haya ili yafanyike katika jumuia za Ujifunzaji (JzK) katika kila shule na hivyo kuwafikia walimu wote katika shule zote zenye wawakilishi hapa.Alisisitiza Bi. Regina


Ni matumaini yangu kwamba kama kila mmoja wetu atasimama katika nafasi yake, tutakuwa katika nafasi nzuri ya kuboresha ufundishaji na ujifunzaji wa wanafunzi wote, na kwa kufanya hivyo tutapata matokeo chanya na tutakuza kiwango cha ufaulu wa wanafunzi katika mkoa wetu.

                                      



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.