• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

“Viongozi wa Elimu na Walimu kutoka halmashauri zote za mkoa wa Singida wapatiwa mafunzo ya kuboresha ufundishaji na ujifunzaji jumuishi”

Imewekwa Mtandaoni mnamo: August 2nd, 2023


Mafunzo haya yametolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Ofisi ya Raisi-TAMISEMI kupitia programu ya Shule Bora katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.


Mafunzo yalitolewa kwa awamu mbili ambapo awamu ya Kwanza ilifanyika tarehe 31 Julai 2023 ikiwahusisha Viongozi wa elimu ambao ni Afisa Taaluma wa Mkoa, Waratibu wa Program ya Shule Bora kutoka kila ofisi ya Afisa Elimu Wilaya, Wakuu wa Shule Ishirini na tano (25) na Maafisa Elimu Kata (10).


Katika hotuba ya Ufunguzi, Afisa Elimu wa Mkoa Dr. Elpidius Baganda aliwasisitiza viongozi kuzingatia mafunzo kwani yanahusu utekelezaji wa Elimu jumuishi ambao ni msingi wa utoaji wa elimu kwa wote bila ubaguzi. Aidha, Dr Baganda alisisitiza kwamba mafunzo haya yamelenga kuwajengea uwezo viongozi kwa kufahamu mbinu bora za kusimamia ufundishaji na ujifunzaji wa wanafunzi wa makundi yote kwa kuzingatia mahitaji yao.

‘’…Viongozi mlioko hapa hakikisheni mafunzo haya yanafanyika katika jumuiya za Ujifunzaji (JzK) katika kila shule na hivyo kuwafikia walimu wote wa Mkoa wa Singida’’ Alisisitiza Dr Baganda.

Awamu ya pili ya mafunzo ilifanyika tarehe 01 hadi tarehe 04 Agosti, 2023 ikiwahusisha walimu Hamsini (50) ambao ni wawezeshaji rika na walimu wa KKK kutoka shule za Msingi ishirini na tano (25) ndani ya Mkoa wa Singida.


Akizungumza katika mafunzo hayo kwa niaba ya Afisa Elimu Mkoa Bi. Regina Yaghambe ambaye ni Afisa Taaluma Mkoa wa Singida alisema kuwa mafunzo haya yatawajengea walimu uwezo wa kutumia mbinu jumuishi za ufundishaji na ujifunzaji ili kuleta matokeo chanya kwa wanafunzi wa makundi kumi na tatu (13) kama yalivyoainishwa katika Mkakati wa Taifa wa Elimu Jumuishi 2021/22 hadi 2025/26.

 

‘’…Ni Dhahiri kwamba madarasa yetu yana wanafunzi wenye mahitaji tofauti ya ujifunzaji, hivyo mafunzo haya ni fursa muhimu kwa kila mwalimu kupata mbinu za uboreshaji wa mazingira rafiki na fikivu kwa ujifunzaji,upimaji endelevu kulingana na mahitaji ya mwanafunzi, uandaaji na utumiaji wa mpango binafsi wa ujifunzaji wa mwanafunzi kulingana na mahitaji maalumu aliyonayo na mbinu za ujifunzaji kwa wote.’. Alisisitiza Bi Regina.

                                     




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.