• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

"WAANDISHI WA HABARI KUWENI WAZALENDO KWA KUANDIKA HABARI ZENYE TIJA KWA JAMII”

Imewekwa Mtandaoni mnamo: February 1st, 2023

Haya yamesemwa na Katibu Tawala Mkoa wa Singida Mwl Dorothy Mwaluko tarehe 31 Januari 2023 Alipokua akifungua Mkutano wa Uhamasishaji wa Programu ya Shule Bora kwa Wasimamizi wa vyombo vya Habari na Wahariri Mkoa wa Singida Uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni

“Waandishi wa habari wa Mkoa wa Singida Mnatakiwa muwe wazalendo kwa Kuandika habari nyingi za Maendeleo ili kutangaza Mkoa wet una sio kukimbilia kuandika zile zinazohusu mabaya tuu japo hazikatazwi”.



Aidha Mwl Mwaluko aliwataka waandishi kwenda vijijini kuandika habari za uchunguzi ambazo zitasaidia kuibua changamoto za wananchi,watumishi wa kada zote pamoja na miundo mbinu mbalimbali ili ziweze kufahamika na kutafutiwa ufumbuzi kwa haraka iwezekanavyo.

Sambamba na hayo Mwl Mwaluko alitumia nafasi hiyo kuwaeleza wana habari hao kuwa mwaka huu Mkoa wa Singida tunatarajia kufanya maadhimisho ya Miaka 60 tangu uanzishwe mwaka 1963 hivyo aliwaomba waandishi wa habari waandike habari mbalimbali zinazohusu Mkoa wa Singida ili kuutangaza Mkoa huu kuelekea Kilele cha Maadhimisho hayo yatakayofanyika oktoba Mwaka huu.


Meneja Mawasiliano wa Shule Bora Raymond Kanyambo akizungumzia program hiyo ya shule bora amesema ni priogramu ya Serikali inayofadhiliwa na UKAID wenye lengo la kukuza na kuboresha ufundishaji na ujifunzaji mashuleni ili kuboresha elimu na kuhakikisha Watoto wote wa kitanzania wa kike na wa kiume wanapata elimu bora.

“Programu hii ya miaka sita inatekelezwa katika mikoa TISA (9) Tanzania Bara yani Katavi, Rukwa, Dodoma, Singida, Mara, Simiyu, Pwani,Tanga na Kigoma. Mkoa wa Singida ni moja ya mkoa unaotekeleza mradi huu wa shule bora ,halmashauri zote saba(7)  katika shule mbalimbali”.


Aidha Kanyambo alisema Mkutano huu umewashirikishawaandishi wa habari ili kushirikiana nao kutokana na umuhimu wao wa kuihabarisha jamii na jinsi yakuandika habari zinazohusu Elimu na chanagamoto zake na kufanya uhamasishaji wa jamii,wazazi  umuhimu wa masuala ya elimu kwa Watoto.

“Tunahitaji ninyi waandishi wa habari mliopo kwenye halmashauri zote za wilaya kutuunga mkono katika kila jambo hili muhimu kwani sisi tunafanya kazi na vyombo vyote vya habari bila kuvibagua”.







Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.