• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

Wadau wa Uchaguzi waombwa kudumisha Amani kipindi cha Uchaguzi mkuu 2020

Imewekwa Mtandaoni mnamo: August 11th, 2020

Mkuu wa wilaya ya Manyoni Mh Rahabu Mwagisa amesisitiza kudumisha amani katika Kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 2020. Mh Rahabu ameyasema hayo leo alipokuwa akizungumza na wadau mbalimbali wa uchaguzi wakiwemo Wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama, Viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa dini, mashirika yasiyo ya kiserikali na wadau wengine wakiwemo wakuu wa idara na wazee mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.

Wakati akifungua kikao hicho cha wadau mkuu wa Wilaya amesisitiza kuwa nchi hiii inasifika kwa amani na utulivu, hivyo ni vyema kuendelea kuidumisha amani yetu bila kuruhusu kutumia siasa vibaya na kujikuta tunaiharibu. “Iwapo mtu ataona viashiria vya uvunjifu wa amani, milango iko wazi kufika na kuripoti ofisini kwangu ama kwenye vyombo vya ulinzi na usalamakwa haraka. Ni rai yangu pia kwa viongozi wa Dini mtuombee amani na uchaguzi uwe wa amani na utulivu. Ni wakati sasa wa kuhubiri amani kwa bidi zote na kuwahimiza wananchi kushiriki katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba 28 mwaka huu” alisema Mh Rahabu.

Nae Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Manyoni Mashariki Ndg. Charles Edward Fussi amesema lengo la kikao hicho ni kuhabarishana juu ya ratiba nzima ya shughuli za uchaguzi ili kuweza kushirikiana katika utekelezaji wa shughuli hizo ikiwemo kuwafahamisha wananchi juu ya nini kinaendelea kuhusiana na Uchaguzi mkuu ili wajue ratiba na waweze kushiriki pale wanapotakiwa kushiriki kama vile kujitokeza katika shughuli za kampeni zinazotarajia kuanza tarehe 26 mwezi huu ili kusikiliza sera za wagombea na pia kuwahamasisha pia wananchi kujitokeza siku ya kupiga kura katika vituo walivyojiandikisha ifikapo oktoba 28, mwaka 2020.


Wakichangia maoni yao, mmoja ya wadau wa kikao hicho Daudi Yina Silla ambaye anatoka Taasisi ya wasaidizi wa kisheria alisema, “Vyama vya siasa vitumie muda vizuri, na kila mwanasiasa afanye mambo ambayo hayatavunja sheria na haki za wengine. Ni ombi letu pia wazingatie kufanya siasa za heshima ambazo hazitatugawa wananchi kutoka katika amani na umoja tulionao”.

Katika uchaguzi wa jimbo la Manyoni Mashariki, wananchi wanatarajiwa kujitokeza katika kupiga kura hapo oktoba 28 ili kumchagua Rais, Mbunge na Madiwani.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.