• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

"WANANCHI WALIOTOA MAENEO YAO KUJENGA MINARA WAPEWE MIKATABA"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: January 16th, 2024


Maelekezo haya yametolewa na Naibu Waziri wa Mawasiliano Mhe . Kundo A. Mathew Tarehe 16 Januari 2024  alipotembelea na kukagua Mradi wa ujenzi wa Mnara wa kampuni ya mawasiliano ya Airtel uliojegwa kata ya Sasilo.

"Natoa maelekezo kwa Kampuni zote za mawasiliano Tanzania kutoa mikataba kwa wananchi wanaotoa maeneo yao ili kujenga minara  na mikataba hiyo ipelekwe na kusainiwa mbele ya wakurugenzi wa Halmashauri ya eneo husika ili kuwashauri wananchi vizuri juu ya ubora wa mikataba hiyo"

Wananchi wa Sasilo hamna budi kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan na Serikali yake kwa kuhakikisha mnapata huduma hii ya mawasiliano huku vijijini, lakini pia kipekee kumshukuru Mbunge wenu Dkt Pius Chaya kwa kuwasemea kwani haikua rahisi kupata mradi huu wa Mnara ila kwakua alikua analisemea  kila siku kwa uzito mkubwa tukaona tuwape kwanza wananchi wa Sasilo.Alisema Mhe. Kundo

Mnara huu wa  Kampuni ya Mawasiliano Airtel  utasaidi kata ya Sasilo pamoja vijiji vyake lakini pia tutaendelea kuhakikisha kata na vijiji vingine ambavyo vina changamoto ya mtandao vinapata mtandao kama kata ya Sasilo mlivyopata.



Naye  Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mhe. Thomas Apson ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Alitoa shukrani za pekee kwa Rais wa Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Pamoja na Naibu waziri wa Mawasiliano kufika Wilaya ya Manyoni kukagua mradi huu na kujiridhisha kazi nzuri iliyofanyika, lakini pia alishukuru Serikali pamoja na wadau wa Mawasiliano Mtandao wa Airtel kujenga mnara huo ambao utawasaidia wananchi Wilayani Manyoni.


"Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan anaupiga Mwingi sana tunamshukuru sana yeye na Serikali yake kwani wananchi wa Manyoni Hususani kata hii ya Sasilo inaenda kunufaika na mnara huu, lakini pia niwashukuru wadau wetu wa mawasiliano Aitel kwa kushirikiana na Serikali kuhakikisha wananchi hawa wanapata mawasiliano.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.