• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

Ziara ya Mh Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa Wilayani Manyoni

Imewekwa Mtandaoni mnamo: July 15th, 2022

Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa  julai 15 , 2022,amekagua maendeleo ya ujenzi na kuweka jiwe la msingi katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Singida inayojengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni kata ya Solya

Akizungumza na wananchi wakati wa hafla ya uzinduzi huo Majaliwa amesema kuwa amefurahishwa na maendeleo ya ujenzi huo na amepongeza uongozi wa Halmashauri pamoja Mhandisi anayesimamia ujenzi huo na kwamba ameongeza kuwa kukamilika kwa shule hiyo kutaenda kupumguza utoro na mimba kwa wanafunzi wakike

Katika hatua nyingine Mjaliwa amefanya kikao  na watumishi wa Serikali na Taasisi za umma kikao  kilichofanyika katika ukumbi wa Rc Mission Itigi ambapo amewaagiza watumishi kufanya kazi kwa juhuhdi ili kuwa na matokeo na si kwa mazoea  amesema kuwa eneo lenye usimamizi dhaifu daima haliwezi kuwa na maendeleo chanya na yenye tija

Majaliwa amesema kila Kiongozi anapaswa ahakikishe anatekeleza majukumu yake  na kutoa taarifa kwa wananchi juu ya miradi mbalimbali inayotekelezwa  ndani ya Halmashauri ili wananchi waweze kuelewa kile Serikali inafanya kwa ajili yao

Aidha  Majaliwa amemuagiza Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Singida Mzalendo Widege kuwahoji  wakusanya mapato katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Wilaya ya Manyoni na wakusnaya mapato wa minada pamoja na Mkuu wa kitengo cha tehama maagizo haya yamekuja baada ya kuwepo kwa udanganyifu katika ukusanyaji na uwasilishaji wa fedha zinazokusanywa.

Majaliwa amesema kuwa kuna wizi mkubwa wa mapato ya Serikali kupitia mifumo ya makusanyo kwenye Halmashauri mbalimbali hivyo ameagiza kila aliyepewa dhamana ya kusimamia kuhakikisha anasimamia kwa uweledi mkubwa ili fedha hizo zikusanywe na kuweza kufanya miradi ya maendeleo iliyopo katika Halmashauri na si vinginevyo.

“ndugu wananchi Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Raisi Samia Suluhu Hassan iko makini na haina mzaa katika matumizi ya fedha za umma hivyo niwambie kabisa hakuna atakayebaki salama na wala hakuna mtumishi atakayeonewa kama atakiuka haya”alisisitiza Majaliwa

Katika ziara yake pia Majaliwa amekagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la wagongwa wa dhalula EMD linalojengwa katika Hospitali ya Wilaya ya Manyoni ambapo amemwagiza Mganga Mkuu kuhakikisha jengo hilo linakamilika kwa wakati na kwa viwango kama ilivyoelekezwa ili wananchi waweze kupata huduma.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.