• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI LAAGIZA SHULE AMBAZO HAZIJASAJILIWA KUKAGULIWA ILI ZIPATE USAJILI

Imewekwa Mtandaoni mnamo: November 4th, 2022

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Limeagiza kupitia kikao chake cha Baraza kilichofanyika tarehe 03 Novemba 2022 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni shule ambazo ni shule ambazo hazijasajiliwa zikaguliwe na Timu wa Udhibiti Ubora ili ziweze Kupata usajili,Baraza hilo limeagiza hayo kufanyika kwa Haraka ili mwaka mpya wa masomo unapoanza shule hizo ziwe zimesajiliwa na hii itasaidiwa shule hizo kupata stahiki zake kama shule zingine zinazojitegemea mfano walimu, miundombinu ya ufundishaji na fedha za kuendeshea shule hizo.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni Mh Jumanne Mlagaza alisema ndani ya huu muda mchache kabla ya mwaka mpya wa masomo kuanza shule zote za msingi na sekondari ambazo hazijasajiliwa zikakaguliwe na timu ya udhibiti ubora ili kwa zile ambazo zitakua zimekidhi vigezo zipate kusajiliwa ziwe shule rasmi.Sambamba na hili Serikali imetupatia fedha Bil 1.7 kwaajili ya ujenzi wa madarsa shule za sekondari hivyo kwa pamoja naomba tushirikiane ili kuhakikisha madarsa haya yanakamilika kwa wakati na tunakabidhi tarehe 03 Disemba 2022 kama tulivyokubaliana halmashauri ya Wilaya ya manyoni.



Nae Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Ndg Fadhili Chimsala alikua na haya ya kusema kwenye hoja hii. "Zoezi la kutembelea na kufanya ukaguzi kwa shule hizi ambazo hazina usajili limeanza tayari na kwa maagizo ya Baraza nitahakikisha zoezi hili linakwenda haraka ili kufikia malengo hayo ya shule hizi kupata usajili kabla ya mwaka mpya wa masomo kuanza.



Aidha Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Rahabu Mwagisa alisema, Kwa niaba ya wananchi wa manyoni tunaishukuru sana Serikali ya awamu ya Sita chini ya Raisi watu Nh Samia Suluhu Hassani kwa kutupatia fedha nyingi sana Wilaya ya  Manyoni za maendeleo mbalimbali ikiwepo sekta ya Afya, Barabara,Elimu,Maji Umeme na miradi mingineyo ombi langu kwenu kwa pampoja tusimamie fedha hizo ili zitumike vizuri na miradi ukamilike kwa wakati na iwe yenye kulingana na thamani ya fedha zilizotumika.

Ni matumaini yangu kuwa Waheshimiwa Madiwani pamoja na Watendaji wote tunapokua kwenye majukumu yetu tunawaeleza wananchi namna Serikali yetu ya awamu ya sita chini ya Mama yetu Mh Samia Suluhu Hassani inavyofanya jitihada kuhakikisha wananchi wa Manyoni wanapata maendeleo kwa kutuleta fedha hizi nyingi za kutekeleza Miradi mbalimbali. Mh Mwagisa alisisitiza.

Mh Mwagisa alimalizia kwa kusema "Nimeanza ziara ya kukagua Miradi ya Maendeleo mbalimbali inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni na kufanya mikutano ya hadhara ili kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua,katika ziara zangu ninaambatana na Wakuu wa divisheni na vitengo na wakuu wa taasisi zote zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni ili kila mmoja aweze kutoa majibu ya kero za wananchi papo kwa papo.Nitaendelea kufanya ziara hizi kuzunguka kata zote ila niwaombe Waheshimiwa Madiwani kabla sijafika kwenye maeneo yenu endeleeni kufanya mikutano na kutatua kero za Wananchi kwenye Maeneo yenu.


Waheshimiwa Madiwani wakiendelea na Baraza

Baadhi ya wataalamu mbalimbali waliohudhuria baraza la madiwani


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.