• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

Wananchi Kintinku, Maweni na Makanda Wapewa Elimu ya Umiliki wa Ardhi – “Tuwe na Hati Miliki” Asema Afisa Ardhi

Imewekwa Mtandaoni mnamo: October 9th, 2025

Wananchi Kintinku, Maweni na Makanda Wapewa Elimu ya Umiliki wa Ardhi – “Tuwe na Hati Miliki” Asema Afisa Ardhi


Manyoni – Katika kuhakikisha usalama wa mali na kupunguza migogoro ya ardhi kwa wananchi, Afisa Ardhi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, Ndg. Mwakila Uswege, ametoa wito kwa wananchi wa Kata ya Kintinku, Maweni na Makanda kuhakikisha wanamiliki ardhi zao kwa hati halali.


Akizungumza tarehe 9 Oktoba 2025 katika Ofisi ya Kijiji cha Udimaa, katika wiki ya huduma za Ardhi, Ndg. Uswege alieleza kuwa umiliki rasmi wa ardhi kwa hati miliki ni hatua muhimu kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla.


> “Ukiwa na Hati Miliki ya Ardhi, una uhakika na usalama wa eneo lako, unakuwa na uwezo wa kulitumia kama dhamana ya kupata mikopo benki, na muhimu zaidi unapunguza migogoro ya ardhi na majirani zako,” alisema Uswege.


Katika mkutano huo uliowakutanisha wananchi kutoka kata zote tatu, elimu ya umiliki wa ardhi ilitolewa pamoja na kugawiwa hati miliki za kimila kwa baadhi ya wananchi waliokamilisha taratibu.


Afisa Mipango Miji, Ndg. Jonas Aniceth, naye alieleza hatua za msingi zinazopaswa kufuatwa ili kupata hati miliki ya ardhi, ikiwemo kujaza fomu za maombi, kufanya uhakiki wa eneo, upimaji wa kitaalamu na maandalizi ya nyaraka za umiliki.


Halmashauri ya Manyoni inaendelea na kampeni ya kuwafikia wananchi wote kupitia elimu ya umiliki sahihi wa ardhi ili kuwezesha maendeleo na utulivu katikaJamii.


@anastaziatutuba @drmashinjivincent @wizara_ya_ardhi @msemajimkuuwaserikali @maelezonews @singidars

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani Yang’ara Solya Sekondari

    October 11, 2025
  • Wananchi Kintinku, Maweni na Makanda Wapewa Elimu ya Umiliki wa Ardhi – “Tuwe na Hati Miliki” Asema Afisa Ardhi

    October 09, 2025
  • Kamati ya Ushauri wa Kisheria Yatoa Msaada Manyoni: “Tuko Hapa Kwa Ajili ya Haki Zenu

    October 09, 2025
  • TANGAZO MAALUM LA WANANCHI

    October 07, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.