• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

Imewekwa Mtandaoni mnamo: September 26th, 2022

BARAZA LA Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, limeshauri usimamizi mzuri wa fedha za miradi zilizotolewa na serikali kwa Halmashauri hiyo. Aidha Baraza limesisitiza utekelezaji wa miradi hiyo kukamilika kwa wakati na ubora uendane na thamani ya fedha iliyotolewa.

Baraza la Madiwani, lililoongozwa na Mwenyekiti Mh Jummane Mlagaza lilikaa tarehe 23 Septemba2022. Baraza pia liliishukuru Serikali ya awamu ya sita, inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassani kwa kutoa pesa za miradi mbalimbali kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.

Fedha zilizotolewa ni kwaajili ya utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa kituo cha afya kwenye kata ya Sanza, Shule ya sekondari ya Wasichana Solya,ujenzi wa jengo la OPD na miradi mingine inayotarajiwa kutekelezwa.

 Baraza la madiwani lililofanyika tarehe 23 Septemba 2022 lililoongozwa na Mwenyekiti Mh Jumanne Mlagaza katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni lilihudhuriwa na Katibu Tawala Wilaya, Mh mbunge Dkt Pius Chaya, Mkurugenzi wa halmashauri Melkizedeck O. Humbe, Makamu mwenyekiti Mh Haruna Thomas, Waheshimiwa Madiwani, Wakuu wa Taasisi mbalimbali, Maafisa Tarafa,Wakuu wa Division na Vitengo na waandishi wa habari

IMG_0574.JPG


.Akizungumza kwenye Baraza hilo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manyoni, Melkizedeck Humbe, alisema,

“Tumepokea changamoto mbalimbali, tutazifanyia kazi. Tunaenda kuongeza mashine za POS kwaajili ya kukusanyia mapato na kila Mtendaji wa Kijiji atakua na mashine yake ili kuongeza na kuboresha ukusanyaji wa mapato katika halmashauri yetu,”

 Alieleza kwamba, hiyo itasaidia kutekeleza miradi ya maendeleo mbalimbali na kuisimamia. Alisisitiza kwamba kama jambo lipo kwenye bajeti ni vema kulitekeleza na kuepuka kuweka matumizi mapya ya fedha. “Naomba tushirikiane wote katika hili.Nawapongeza waheshimiwa Madiwani kwa kushiriki vema katika majukumu yao,” 

IMG_0522.JPG

Waheshimiwa Madiwani wakiendelea kufatilia majadiliano ndani ya Baraza

IMG_0525.JPG

Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni akizungumza kwenye Baraza 


Aidha baraza pia lilifanya Uchaguzi wa Makamu mwenyekiti ambapo Chama cha Mapindizi kiliwasilisha Jina la Mh Haruna Thomas kama mgombea,Wajumbe halali 26 walipiga kura na Mh Haruna alishinda kwa kupata kura 24 ambazo ni sawa na asilimia 92.

IMG_0542.JPG

Zoezi la kuhesabu kura likiendelea baada ya wajumbe kupiga kura


Mh Mwenyekiti wa Baraza pia, aliziasa kamati zote kwa nafasi zao kusimamia na kutekeleza majukumu yao ili kusaidia halmashauri ya Manyoni . Chama Cha Mapinduzi kupitia wananchi kimetuamini ili kusimamia maendeleo kwa misingi ya sheria na taratibu za nchi, Kwa pamoja tunaweza kuleta maendeleo ndani ya Halmashauri yetu

IMG_0569.JPG



 

 

 





Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.