• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MANYONI KWA MWAKA 2019/2020

Imewekwa Mtandaoni mnamo: February 26th, 2019

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni leo tarehe 26/02/2019 limepitisha makisio ya mpango na bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni kwa Mwaka wa fedha 2019/2020 kiasi cha Tsh. 26,203,499,412/= Kati ya fedha hizo Tshs. 1,450,783,500/= ni ruzuku ya miradi ya maendeleo na wahisani, Tshs 1,068,707,056 ni ruzuku ya matumizi ya kawaida, Tshs. 20,788,360,000/= mishahara, na Tshs 2,677,435,396 ni mapato ya ndani.

Aidha Halmashauri imejiwekea mikakati mbalimbali ili kuhakikisha ukusanyaji wa mapato ya vyanzo vya ndani unaimarika na kuwa wa ufanisi zaidi. Mikakati hiyo ni pamoja na Kuendeleza ujenzi wa stendi ya Mabasi na eneo la kupaki magari makubwa na uboreshaji wa masuala mbalimbali ya Kilimo ikiwemo kilimo cha korosho na ukarabati wa skimu mbalimbali za umwagiliaji. Vilevile katika huduma za jamii bajeti hiyo ya 2019/2010 itawezesha uboreshaji wa majengo ya kutolea huduma za afya na elimu, pamoja na mikopo ya wanawake na vikundi vya watu wenye ulemavu.

Vipaumbele vya miradi ya maendeleo vya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2019/2020 vimejikita katika sekta za Elimu, Afya, Maji, Ujenzi, Utawala, Maendeleo ya Jamii, Fedha na biashara, Uvuvi, Mifugo na Sekta ya Kilimo.

Katika kipindi cha Mwaka wa fedha 2018/2019 Halmashauri ya wilaya ya Manyoni iliidhinishiwa kukusanya kiasi cha jumla ya Tshs 23,315,636,767/=. Kati ya kiasi hiki Tsh 17,767,620,785/= zinatumika kwa ajili ya mishahara, Tsh 697,784,747/= kwa ajili ya matumizi ya kawaida na Tsh 2,258,809,990/= kwa ajili ya miradi ya maendeleo. Mpaka kufikia Desemba 2018 upande wa maeneo yasiyo ya ruzuku, halmashauri ilikuwa imekusanya jumla ya kiasi cha Tsh 871,723,854/= kutoka kwenye vyanzo mbalimbali vya halmashauri sawa na asilimia 32 ya makisio ya 2018/2019.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.