• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

*DED MANYONI AKABIDHIWA KOMBE LA USHINDI WA TATU- DRAFTI KATIKA MASHINDANO YA SHIMISEMITA KITAIFA – TANGA* *Manyoni, 01 Sept 2025*

Imewekwa Mtandaoni mnamo: September 1st, 2025

*DED MANYONI AKABIDHIWA KOMBE LA USHINDI WA TATU- DRAFTI KATIKA MASHINDANO YA SHIMISEMITA KITAIFA – TANGA*

*Manyoni, 01 Sept 2025*


Mkuu wa Kitengo cha Sanaa na Michezo katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Ndg. Abubakar Kisuda pamoja na Timu ya Kurugenzi Manyoni leo wamemkabidhi rasmi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (DED) Bi. Anastazia Tutuba kombe la ushindi wa tatu katika mchezo wa Drafti, baada ya timu ya Manyoni kurejea kutoka kushiriki mashindano ya *SHIMISEMITA* ngazi ya Taifa yaliyofanyika jijini Tanga.


Tukio hilo limefanyika ofisini kwa Mkurugenzi huku kikosi cha timu ya michezo Manyoni kikishuhudia kwa furaha na fahari. Timu ya Kurugenzi Manyoni iliwakilisha Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni katika mashindano hayo, na kuibuka mshindi wa tatu Kitaifa katika mchezo wa Drafti, ikiwashinda wapinzani kutoka Halmashauri mbalimbali.


Akizungumza wakati wa makabidhiano, Mkuu wa Kitengo cha Sanaa na Michezo alimpongeza Mkurugenzi wa Halmashauri kwa usaidizi na usimamizi mzuri uliowezesha timu kufika mbali. Alieleza kuwa ushindi huo ni matokeo ya juhudi za pamoja, nidhamu ya wachezaji, na uwekezaji wa Halmashauri katika sekta ya michezo.


Kwa upande wake, Bi. Anastazia Tutuba Mkurugenzi wa Halmashauri aliipongeza timu kwa ushindi huo na kusema:

*"Ushindi huu si wa Drafti tu, bali ni ushindi wa nidhamu, kujituma, na uwakilishi mzuri wa Halmashauri ya Manyoni. Tutaendelea kuwekeza katika vipaji ili michezo iwe sehemu ya maendeleo yetu."*


Mbali na kombe, Mkurugenzi pia alipokea Cheti rasmi cha ushiriki kutoka kwa waandaaji wa SHIMISEMITA, kama kumbukumbu ya mchango wa Manyoni katika mashindano hayo.

@shimisemita_taifa

@ortamisemi

@maelezonews

@singidars

@halimadendego

@drmashinjivincent

@anastaziatutuba

@manyonidc

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani Yang’ara Solya Sekondari

    October 11, 2025
  • Wananchi Kintinku, Maweni na Makanda Wapewa Elimu ya Umiliki wa Ardhi – “Tuwe na Hati Miliki” Asema Afisa Ardhi

    October 09, 2025
  • Kamati ya Ushauri wa Kisheria Yatoa Msaada Manyoni: “Tuko Hapa Kwa Ajili ya Haki Zenu

    October 09, 2025
  • TANGAZO MAALUM LA WANANCHI

    October 07, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.