• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

“Elimu Msingi waweka Mikakati kuboresha Ufaulu Manyoni”.

Imewekwa Mtandaoni mnamo: January 13th, 2023


Walimu wakuu , Maafisa elimu na Viongozi wa idara ya elimu msingi tarehe 11 Januari 2023 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni wamekaa kikao cha tathimini ya matokeo ya darasa la saba 2022 na kuweka Mikakati ya namna ya kuboresha ufundishaji ili kupandisha ufaulu.

Akizunguza katika kikao hicho Afisa Elimu Msingi Halmashauri ya Manyoni Mwl. Hamisi Milowe amesema; Matokeo sio mazuri sana tukilinganisha na matokeo ya Mock kwani yalitupa matumaini na muelekeo wa kufanya vizuri sana. Lengo la serikali na kila shule iwe na ufaulu wa 85%  hivyo msipofikia lengo hili mnashusha wastani wa ufaulu kwa Halmashauri. Hivyo tuwe na mikakati mizuri ili tufikie lengo.

Matumizi ya vitabu vya mitihani, watahiniwa watumie vitabu  hivi vya mitihani (PIRA) ili kuongeza na kukuza uelewa na pia vyakula mashuleni ni lazima tujitahidi kuhakikisha kuna vyakula shuleni ili kupunguza watoto kukaa muda mrefu bila kula na badala yake kuwaza chakula na sio masomo.Alisema Mwl. Milowe.


Muunde kamati ya Taaluma ya Kata ambayo kamati yake wajumbe wake ni Walimu wakuu wote,kamati hii ndio inapaswa kufatilia taaluma kwa shule zote ndani ya kata nzima. Na Kamati ya uthibiti ubora ndani ya shule kila jumatatu ikae kikao kuona maendeleo ya shule husika.

Mkakati mwingine ni pamoja na kuhakikisha tunapunguza au kuondoa kabisa utoro kwa kutoa motisha kwa wanafunzi na walimu wanaofanya vizuri shuleni, michezo shuleni, bendi na pia ziwepo sheria ambazo zitadhibiti utoro kwa kiasi kikubwa.

Mwl. Milowe alisema “ Tukamilishe miundombinu kwa wakati na miradi ilingane  na thamani ya  fedha iliyotolewa na Serikali. Maafisa Elimu na wakuu wa shule wakae kwenye maeneo yao ili kusimamia miradi shuleni. Pia wakuu wa shule msikumbatie miradi shirikisheni walimu wote waijue miradi ili inapotokea haupo basi kila mmoja aweze kuuelezea mradi. Kamati za usimamizi wa miradi ziundwe mapema ili inapokuja miradi uanze mara moja”.

Tuko nyuma sana kwenye suala la uandikishaji kwa wanafunzi wa Awali na darasa la kwanza hivyo naomba tujitahidi tuendelee kuandikisha ili tupige hatua kwani tupo nyuma sana, Samabamba na hilo tuendelee pia kupokea Watoto wenye mahitaji maalumu. Alisema Mwl. Milowe.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.