• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

Halmashauri ya Mwanga watembelea Manyoni kujifunza Kilimo cha Korosho

Imewekwa Mtandaoni mnamo: December 21st, 2020

Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Salehe Mkwizu pamoja na baadhi ya Madiwani, Wenyeviti wa vijiji na wataalamu wa kilimo leo wametembelea mashamba ya korosho yaliyopo katika Kijiji cha Masigati katika Halmashauri ya Manyoni kuona kile ambacho kinafanyika ili kuweza kujifunza namna sahihi ya kufanikisha kilimo hicho kama kinavyofanya vizuri katika Mradi wa Mkwese – Masigati ambao unasimamiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.

Akizungumza na Afisa kilimo pamoja na Mwenyekiti wa wakulima wa korosho Wilaya ya Manyoni, kwa niaba ya Madiwani wote wa Wilaya ya Mwanga Mh Mkwizu amesema kuwa wamekuja kujifunza kutoka kwa wataalamu wa Manyoni kwani katika Wilaya ambazo korosho Ni zao la kimkakati na Wilaya ya Mwanga nayo pia Ni mojawapo hivyo wamekuja kuona Ni jinsi gani Manyoni inafanikiwa katika uzalishaji wa zao hilo.

Mh Mkwizu amesema kuwa wamefurahishwa sana na kwamba Sasa nao wanaenda kuanza kutumia hayo waliyoyapata kutoka kwa wataalamu  ili na wao waweze kukazania kilimo hicho Cha korosho Wilayani humo.

Aidha Mh Mkwizu amesema kuwa Wilaya ya Mwanga Ni Wilaya yenye kufanana Kihali ya hewa na Manyoni hivyo Kuna tija ya kuendelea kujifunza mengi kutoka Manyoni na kwamba Kuna tija pia ya kuungana kwa pamoja ili siku Moja na wao pia waje wawe Kama Manyoni.

"Niseme tu kuwa kwakweli tumefurahishwa Sana na jinsi ambavyo mmetupokea na kutupatia huu utalaamu na kwamba tunawaahidi tunakwenda kuanza Sasa na ikifika wakati tutawaita mje muone Yale ambayo mmetufundisha jinsi tunavyoyatekeleza lakini pia niombe msituchoke tutaendelea kuhitaji ushauri wenu wa Kila hali ili nasi tuweze kutekeleza mpango huu wa kuifanya korosho kuwa zao la kimkakati Wilaya ya Mwanga"alisema Mkwizu .

Akipokea shukrani hizo Mh Diwani wa viti maalumu Blandina Mawala alisema kuwa kwa niaba ya Mh Mwenyekiti wa Halmshaur ya Wilaya ya Manyoni wamefurahishwa sana na umoja huo wa waheshiimiwa hao kutoka Mwanga kuja kutembelea Manyoni lakini pia kuona miradi ambayo inaendelezwa Manyoni na hasa zao la kimkakati la korosho.

Mh Mawala amesema kuwa Halmashaur ya Wilaya ya Manyoni inasimamia kikamilifu kuona kwamba ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya kuboresha kilimo inakuwa na tija na inatekelezwa kikamilifu,na hasa katika uboreshaji wa mazao ya kimkakati Kama vile zao la korosho.

Aidha Mh Mawala amewapongeza timu hiyo kwa ujumla na wengine kwa kuona kuwa Kuna tija na haja kuchukua hatua kuja kuwatembelea Manyoni na hawakuona hajaya kuita wataalamu hukohuko kutoka sehemu nyingine na kwamba wameiamini Manyoni kuwa Kwanza inaweza kuwa sehemu ya kuwafungua wao .

"Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Halmashaur na kwa niaba ya Mh  Mbunge Dkt Pius Chaya na waheshimiwa Madiwani wote niwapongeze kwa hatua mliyochukua ya kuona Manyoni inafaa kuwa chachu na tija ya nyie kujifunza hivyo niseme mmetuamini Sana nasi tutaendelea kuwa sehemu ya kushirikiana nanyi kwa jinsi ambavyo mmetuamini hatutawaangusha karibuni Tena tena tutakuwa pamoja na hata Sasa mkihitaji Wataalamu kutoka Manyoni kuja Mwanga Basi niseme tu wako tayari watakuja hivyo niwashukuru Sana" alisema Mh Mawala.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.