• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

"Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni yapokea Tan 50 za Mbegu ya Alizeti'

Imewekwa Mtandaoni mnamo: December 5th, 2022

kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Ndg Fadhili Chimsala  amethibitisha kupokea Tani 50 za mbegu ya Alizeti  tarehe 02 Disemba 2022 ambazo zimehifadhiwa katika ghala la Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, Mbegu hizi zitasambazwa katika kila kata ili kuwafikia wanufaika katika eneo husika.


Ndg  Chimsala amesema "Kwa niaba ya Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, wakulima na wananchi kwa ujumla tunaishukuru Serikali ya awamu ya Sita chini ya Raisi wetu Dkt Samia Suluhu Hassani kwa kuendelea kuwathamini wakulima na kuhakikisha wanapata pembejeo za kilimo kwa wakati na kwa garama nafuu, Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni tuliomba tani 50 za mbegu na tumepata zote Tani 50"




Afisa kilimo  ndg Zakayo Ijojo alisema;Mbegu hizi  za Record C1 ni mbegu bora na imethibitishwa na mamlaka ya udhibiti wa mbegu Tanzania,Aidha tunaishukuru serikali kwa kuleta mbegu hizi zikiwa na garamaa nafuu sana kwani  Mbegu hizi zitauzwa kwa shilingi 5,000/= kwa kilo moja na kilo mbili itakua ni 10,000/=. 


 Kwa Upande wake Mkuu wa Wilaya Mhe Rahabu Mwagisa alisema "Tunaishukuru Serikali yetu kwakuwa sikivu sana kwa wananchi wake , Wilaya yangu imepokea jumla ya Tani 80 za mbegu ya Alizeti kwa maana ya Halmashauri ya Manyoni tani 50 na Halmashauri ya Itigi tani 30 na sisi kwa nafasi zetu tutaendelea kuhamasisha kilimo chenye tija kwenye maeneo yetu lakini pia tutahakikisha mbegu hizi zinawafikia walengwa ambao ni wakulima. Pia Nawaomba wakulima waendelee kuwatumia wataalamu wetu wa kilimo waliopo kwenye maeneo yao ili wawape ushauri juu ya kilimo bora.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.