• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

“JAJI KIONGOZI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA AWAASA WATUMISHI WA MAHAKAMA KUWA MABALOZI WAZURI WA HAKI"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: January 30th, 2023


Jaji kiongozi wa Mahakama kuu ya Tanzania Jaji Mustapher Siyani ameyasema haya leo tarehe 30 Januari alipokua kwenye Hafla ya uzinduzi wa  Majengo ya Mahakama za Wilaya ya Manyoni, Bunda, Kilindi, Sikonge na Rungwe iliyofanyika kwenye viwanja vya Mahakama mpya ya Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida.


“Kuweni mabalozi wazuri wa Haki kwa kuhakikisha mnatoa huduma bora kwa wananchi, jengeni Imani kwa wananchi kwa kuhakikisha mnatoa haki kwa wananchi kwa wakati ili kuepuka dhania ya wananchi kuwa hakuna huduma inatolewa na mahakama bure bila rushwa. Tunao uwezo huo wa kubadili fikra hizo kutoka kwenye kutokuaminiwa kwenda kwenye kuaminiwa kwa kufanya kazi kwa bidii na kwa haki lakini bila kufanya hivyo tutazidi kunyooshewa vidole kuwa hatutendi haki”.



Jaji Siyani amesema “Ninawaasa watumishi wa Mahakama zote kujivunia na kujisifu kwa kutoa huduma bora kila mmoja kwa nafasi yake na sio kujisifu kwa vitu vingine kama majengo mazuri na mengineyo. Huduma bora ni pamoja na kuhakikisha miundombinu inaboreshwa ndio maana Serikali ya Awamu ya Sita Chini ya Raisi wetu Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassani imeliona hili ndio maana leo hii tunazindua Mahakama hizi tano (5) zenye miundombinu Mizuri kabisa”


“Serikali imeamua kuboresha upatikanaji wa huduma za Mahakama karibu sana na wananchi ili kuondoa changamoto ya wananchi kufata huduma hii kwa umbali mrefu sana kutoka katika maeneo wanayoishi hivyo tunapaswa kuishukuru serikali yetu ya awamu ya Sita. Huduma zote muhimu za Kisheria zitapatikana katika majengo yetu haya ya Mahakama kama vile Polisi na Ustawi wa Jamii ili kuepusha usumbufu wa huduma za mahakama”. Alisisitiza Jaji Siyani.



Sambamba na hayo kwa zama hizi tunapasw kutambua umuhimu wa matumizi ya Teknolojia katika utoaji wa huduma, Hakuna huduma bora kwa zama hizi bila matumizi ya teknolojia,Kama tulivyoskia wanakwaya wetu wakisema hapa kuwa Mahakanma zetyu zinakwenda kurahisisha huduma zake za kimahakama kwa kutumia teknolojia.


Imetolewa na;

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Halmashauri ya Manyoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.