• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

KAMATI YA SIASA YA MKOA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA MANYONI

Imewekwa Mtandaoni mnamo: July 26th, 2023


Tarehe 25 Julai 2023 Kamati ya Siasa Mkoa wa Sigida ikiongozwa na Mjumbe wa NEC Ndg. Yohana Msita wametembelea na Kukagua miradi ya Maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na Kikundi cha Hope kilichopata Mkopo kutoka Halmashauri, Ujenzi wa vyumba vya madarasa pamoja na mabweni Shule ya Sekondari Mwanzi, Ujenzi wa Zahanati ya Mbwasa, Ujenzi wa vyumba viwili vya Awali vya mfano Shule ya Msingi Chikuyu.


Kamati ya Siasa ya Mkoa imepogeza hatua za ujenzi wa miradi hii kwakua miradi hii hatua ni nzuri na imeshauri kuongeza kasi zaidi ili kuhakikisha inakamilika kwa asilimia mia haraka iwezekanavyo.

Ndg. Yohana Msita Mjumbe wa NEC amesema” Nawapongeza kwa hatua hii ya ujenzi kasi ni nzuri hivyo niwaombe kuongeza juhudi zaidi ili kuhakikisha miradi hii kwa sehemu iliyobaki inakamilika kwa wakati na Majengo yanaanza kutumika”.



Tunamshukuru Raisi wa Awamu ya Sita Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassani kwa kutupatia fedha nyingi za maendeleo katika Mkoa wa Singida hususani hapa Manyoni, tumepata fedha nyingi sana za miradi katika sekta ya Elimu, Afya, Barabara na zinginezo. Amesema Ndg. Msita

Ndg Yohana Msita Amesema; Niwaombe sana Viongozi wenzangu na wataalamu kuendelea kuwashirikisha wananchi katika miradi kwa kushiriki kujitolea katika kazi mbalimbali ili kujua  miradi inayoendelea katika maeneo yao na kuunga mkono juhudi za Serikali yetu chini ya Uongozi wa Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan lakini pia tuitunze miundombinu hii kwa faida ya vizazi vijavyo.


Kwa upande wake Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni  Ndg. Jimson Mhagama  Amesema; Tumepokea Ushauri na Maelekezo yote mliyotupatia tunaahidi kufanyia kazi  ili kuhakikisha miradi hii inakamilika kwa haraka lakini ikiwa na viwango vinavyostahili. Tunawashukuru sana kwa kututembelea na kukagua kuona namna Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni tunavyotekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM).




Muonekano wa hatua ya Ujenzi wa Madarasa Shule ya Sekondari Mwanzi.



Muonekano wa Hatua ya Ujenzi Zahanati ya Mbwasa.




Muonekano wa Madarasa ya Awaili ya Mfano Shule ya Msingi Chikuyu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.