• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

“KILA KAYA IPANDE MITI MINNE (4) KILA MWAKA “ DC MWAGISA MANYONI.

Imewekwa Mtandaoni mnamo: January 7th, 2023

Haya yamesemwa na Mkuu wa Wiaya ya Manyoni Mhe Rahabu Mwagisa tarehe 07 Januari 2023 alipokua akizindua kampeni ya upandaji miti iliyofanyika kuzunguka maeneo ya standi ya mabasi Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.

“Ninatoa maagizo kwa viongozi wa kata,watendaji na wenyeviti wa vitongoji kuhakikisha kila kaya inapanda miti kuzunguka maeneo yao ya makazi na sambamba na kampeni hii ya upandaji miti niombe pia kuhakikisha usafi unafanyika kila wakati kuzunguka maeneo yetu yote na mazingira yanakuwa safi”.




Mhe. Mwagisa amesema; Tupande miti ili kurekebisha mandhari lakini pia ili kuepusha madhara yatokanayo na ukosekanaji wa miti,madhara ya kukosekana kwa miti hayatokei pale pale madhara yanatoke taratibu hivyo tujitahidi kuzuia madhara hayo kwa kuhakikisha maeneo yote yaliyowazi yanapandwa miti ya kutosha.

Watendaji wa Kata na viongozi wote hakikisheni mnawasisitiza wananchi juu ya kampeni hii pia hakikisheni kwenye barabara zetu na kuzunguka vyanzo vya maji miti inapandwa lakini pia kwenye ofisi zote za Serikali kunakua na miti ya kutosha na itunzwe ili ikue. Alisisitiza Mhe. Mwagisa.

Mimi nashauri Zaidi wananchi kupanda miti ya matunda kwani unapata faida mara mbili yani unapata kivuli lakini pia unapata matunda na unaboresha afya.


 

MATUKIO KWA PICHA:



Viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wakiwa tayari kwa zoezi la upandaji miti.



 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Mhe. Jumanne 




Katubu Tawala Wilaya ya Manyoni Ndg. Charles Mkama Adram


Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Manyoni Ndg. Fadhili Chimsala





ASP Ponsiano Kahongo Akimuwakilisha Kamanda wa Polisi Wilaya




Mshauri wa Jeshi la Akiba Kamanda Enock W. Liwembe.


Mtendaji wa Kata ya Manyoni Ndg. Eiwan Simkonda (kulia) akiwa na mwananchi anaepaswa kutunza mti huu mpaka utakapokua.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.