• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

KUELEKEA KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA UHURU WA TANZANIA BARA

Imewekwa Mtandaoni mnamo: December 7th, 2023

''SHULE NANE KWENYE MASHINDANO YA BENDI''


Tarehe 6/12/2023

Ikiwa ni Wiki ya maadhimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara ambayo imeanza tarehe 01 hadi 09 Desemba



Shule 8 za Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni ambazo ni Mwembeni Shule ya Msingi, Sayuni Shule ya Msingi, Tambukareli Shule ya Msingi, Majengo Shule ya Msingi, Manyoni Shule ya Msingi, Mwanzi Shule ya Msingi, Mwanzi Sekondari na Mlewa Sekondari.


Zimeshiriki Mashindano ya Kushindanisha Bendi za Shule  kwa kuimba Wimbo wa Taifa pamoja na Waafrika Mashariki ambapo wamepatikana washindi katika mashindano hayo ambapo mshindi wa kwanza ni Mwembeni Shule ya Msingi, Mshindi wa pili ni Sayuni Shule ya Msingi na Mshindi wa tatu ni Tambukareli Shule ya Msingi.

Sambamba na mashindano hayo wanafunzi wa  Shule zote wamepatiwa Elimu ya  kuhifadhi na kujilinda na wanyama pori nane waharibifu kwa Binadamu kutoka kwa Mhifadhi wa Tawa (Tanzania Wildlife Authority) Afisa Wanyamapori Kanda ya Kati Ayubu Sarikiaeli Pallangyo,


Alisema haya "kanda ya kati inasumbuliwa sana na Tembo jinsi ya kupunguza uharibifu wa mnyama huyu pindi unapomwona ni kujua upepo unaelekea wapi na usiruhusu anuse harufu yako, kama upepo unatoka mashariki na kuelekea magharibi na tembo yupo mashariki kaa magharibi napindi unapo mwona unaweza kurudi mita thelathini maana hana uwezo sana wa kuona ivyo hutumia kunusa na kusikia sana,

Na tembo kabla hajakufata huonesha dalili tatu ya kwanza kupanua masikio na kunyanyua mkonge ya pili huanza kurusha mchanga na kuvunja miti kama ipo karibu na ya tatu hubana masikio kuweka mkonge chini na kukufuata, endepo tembo atakufata ameshauri jinsi ya kujiokoa kuna aina mbili ya kwanza kutulia hapohapo ulipo bila kuonesha ishara baya tembo hata kudhuru aina ya pili kuvua nguo uliovaa na kukimbia zigizaga.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.