• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

"LISHE BORA NI MUHIMU KWA AFYA ZETU"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: November 14th, 2022

Haya yamesemwa na Muwakilishi wa  Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Bi Mariam Hussein Hassani kwenye kikao cha kawaida cha kisheria cha robo ya kwanza 2022/2023 cha Lishe kilichofanyika tarehe 10 Novemba 2022 ukumbi wa halmashauri ya Wilaya ya Manyoni

Bi Mariamu Hassani alisema suala la Lishe ni suala la muhimu sana hivyo tunapokutana kwenye vikao hivi ni lazima tufanye tathimini ya maazimio yaliyopita na kuona tumefanikiwa kwa kiasi gani lakini pia lazima tukumbushane wajibu wetu kila mmoja kwa nafasi yake juu ya namna gani jamii yetu inaweza kupata Lishe bora.

Watoto wenye Lishe bora wanakua na akili hata maendeleo yao ya kukua na hata maendeleo yao ya shuleni ni tofauti na Watoto ambao hawana lishe bora hivyo kupitia kikao hiki tupate taarifa yetu ya robo iliyopita tuijadili na kisha kuoanga mikakati ya robo ijayo lengo ni kuona tunapiga hatua mbele kumuunga mkono Raisi wa awamu ya sita Mh Samia Suluhu Hassani juu ya mpango huu wa Lishe Kitaifa.Alisisitiza Bi Mariamu Hassani




Kwa upande wake Mganga mkuu Wilaya ya Manyoni Dr Furaha Mwakafwila nae alisema; Tuna kigezo kipya cha mpango huu wa Lishe ambacho ni wanafunzi kupata chakula mashuleni hivyo kwa pamoja kama wajumbe wa kikao hiki tushirikiane kwa pamoja tuhakikishe wanafunzi katika shule zetu zote wanapata lishe bora mashuleni

Dr Mwakafwila alisema; Jamii yetu inaweza kuwa na vyakula vingi sana lakini ikawa haipati lishe bora na hii ni kutokana na jamii kutokujua ni vyakula vipi vinatakiwa kutumika kwa pamoja ili wapate lishe bora hivyo mimi na timu yangu tutaendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya matumizi ya vyakula vinavyopatikana katika jamii yetu ambavyo vikitumika jamii yetu itakua inapata Lishe bora.

Leo Tumepata fursa ya kupima afya zetu kama kupima uzito, urefu,presha na mengineyo kwakua tumekuja na huduma hii kwenye kikao hiki. Niwaombe sana tuwe na mazoea ya kupima na kujua Afya zetu mara kwa mara hii itasaidia kujua tatizo mapema kabla tatizo halijawa kubwa sana na kuanza kupata huduma ya matibabu mapema;Alisisitiza Dr Mwakafwila.




wajumbe wa kikao wakiendelea na majadiliano


Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Ndg Sambu Nala alisema;Nawashukuru wajumbe wote kwa ushirikiano wenu mlionipa kwa robo hii iliyopita kwani inaonesha wazi namna gani tunathamini Afya za jamii inayotuzunguka. Tumeendelea kusimamia utoaji wa elimu ya ulishaji katika vituo vya kutolea huduma na pia kuwasimamia watoa huduma vituo vyote vya kutolea huduma wanawapima na kuchunguza hali ya lishe ya Watoto na wajawazito kwenye vituo vyao.

Julai mpaka septemba Zaidi ya Wazazi/walezi  32807 wamepata Elimu ya lishe bora kwa Watoto wadogo Miezi 0 -23 na Watoto chini ya miaka mitano 23330 walichunguzwa hali zao za lishe na ambao walionekana na lishe duni walipata ushauri na matibabu mbadala na hali zao za lishe zikaimarika.Hivyo tuendelee kupeana ushirikiano kuhakikisha jamii yetu inapata lishe bora kwa kutumia vyakula vyetu vinavyopatikana katika jamii yetu. Alisema Afisa lishe.




Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.