• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

Maafisa Ardhi Manyoni Waendelea Kuielimisha Jamii Kuhusu Ulipaji wa Kodi ya Ardhi

Imewekwa Mtandaoni mnamo: August 27th, 2025

‎Maafisa Ardhi Manyoni Waendelea Kuielimisha Jamii Kuhusu Ulipaji wa Kodi ya Ardhi

‎

‎Manyoni, 28 Agosti 2025 Katika jitihada za kuhamasisha ulipaji wa kodi na kuongeza uelewa kwa wananchi, Maafisa Ardhi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni wameendelea na Ziara ya kutoa elimu na kuwakumbusha wananchi wajibu wao wa kulipia kodi za ardhi.

‎

‎Ziara hiyo imeongozwa na Afisa Ardhi wa Wilaya, Bw. Mwakila P. Uswege, ambaye aliwafikia wananchi katika Makazi nakutoa Elimu alisema Tunauisha taarifa za site na ofisini, penye matumizi ya makazi waliojenga kuweka biashara wanapewa utaratibu wa kubadilisha matumizi, tunauisha taarifa ili wamiliki wapate bili kupitia namba zao za simu

‎

‎Akizungumza na wakazi wa Makazi ya Mtaa wa Uarabuni, Bw. Mwakila alieleza kuwa kodi ya ardhi ni ya lazima kwa kila mmiliki wa ardhi, iwe amejenga au bado, na kusisitiza kuwa: "Kodi ya pango ndiyo ile mnayokatwa kila mwezi kupitia umeme (LUKU), lakini kodi ya ardhi inalipwa kila mwaka kwa ardhi unayomiliki – jenga au usijenge, lazima ulipe."

‎

‎Aliongeza kuwa kwa sasa Serikali imeboresha mifumo na kuwa tayari wameanza kuwaachia wananchi namba zao za TIN kwa ajili ya kulipa kodi hizo moja kwa moja, na kuwataka wale wenye madeni kulipa haraka ili kuepuka adhabu au hatua za kisheria.

‎

‎ Kampeni hiyo imepokelewa kwa hamasa kubwa, huku wananchi wakitoa pongezi kwa maafisa ardhi kwa kuwasogelea moja kwa moja na kutoa elimu ya msingi inayowawezesha kuelewa wajibu wao wa kisheria na kiuchumi.


@wizara_ya_ardhi @maelezonews @singidars @drmashinjivincent @anastaziatutuba

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani Yang’ara Solya Sekondari

    October 11, 2025
  • Wananchi Kintinku, Maweni na Makanda Wapewa Elimu ya Umiliki wa Ardhi – “Tuwe na Hati Miliki” Asema Afisa Ardhi

    October 09, 2025
  • Kamati ya Ushauri wa Kisheria Yatoa Msaada Manyoni: “Tuko Hapa Kwa Ajili ya Haki Zenu

    October 09, 2025
  • TANGAZO MAALUM LA WANANCHI

    October 07, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.