- Mwanzo
- Kuhusu Sisi
- Utawala
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma Zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Mafunzo ya Mfumo wa Usimamizi wa Mali za Umma (GAMIS) Yaliyofanyika Leo tarehe 12 June 2025 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni
Lengo la Mfumo huu wa GAMIS ni kuwawezesha Wataalamu kuingiza na kuhuisha taarifa za Mali za Umma kwenye mfumo huo kwa wakati na pia kusimamia Mfumo wa GAMIS, uondoshwaji wa mali za umma na kuhakiki taarifa za Mali kabla ya kufunga hesabu za Mwaka wa Fedha husika.
@urtmof
@ikulu_mawasiliano
@ortamisemi
@singidars
@halimadendego
@drmashinjivincent
@anastaziatutuba
@manyonidc
@
HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI
Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI
Simu: +255 26 2540136
Namba ya Simu: +255 26 2540136
Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz
Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.