• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

"MAKABIDHIANO YA OFISI YA MKURUGENZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MANYONI"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: March 17th, 2023

Makabidhiano ya Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni yamefanyika tarehe 17 Machi 2023 ambapo Mkurugenzi anayestafu Ndg. Melekizedeck O. Humbe amemkabidhi Mkurugenzi anaekaimu kiti hicho kwa sasa Ndg. Heri A. Kaombwe.

Makabidhiano haya yamefanyika Mbele ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Manyoni Mhe. Jumanne S. Mlagaza pamoja na Wakuu wa Idara na Wakuu wa Vitengo wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni ili kila mmoja kufahamu makabidhiano hayo na kupata nasaha kwa pamoja kutoka kwa Mkurugenzi anaekabidhi lakini pia kwa anaekabidhiwa.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Manayoni Mhe. Jumanne S. Mlagaza amesema; "Mkurugenzi anayestafu alikua akifanya kazi na kusimamia kazi zake ili kuleta matokea chanya hivyo namini hata Mkurugenzi unaekabidhiwa kusimamia kiti hichi utafata nyayo hizo na kuhakikisha tunasonga mbele kuleta maendeleo katika Halmashauri yetu ya Wilaya ya Manyoni".

"Nakuomba Mkurugenzi uliekabidhiwa kiti hiki leo kusimamia Watumishi wote kila mmoja kwa nafasi yake kuhakikisha anawajibika ipasavyo na kwa bidii katika kufanya kazi na  kwa kufata sheria, kanuni na taratibu za Utumishi wa Umma" Alisisitiza Mhe. Mlagaza



Ndg Melekizedeck O. Humbe alisema "Ninawashukuru Baraza la Madiwani pamoja na Watumishi wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni kwa Ushirikiano mkubwa mlionionesha ndani ya mwaka mmoja niliotumikia katika Halmashauri hii, nashukuru sana kwa juhudi mlizozionesha katika kusimamia miradi ya maendeleo tuliyokuwa tunaitekeleza katika Halmashauri, Niwaombe sana Ushirikiano mlionionesha mimi kwa kipindi chote nikiwa Mkurugenzi hapa huo huo muuoneshe kwa Mkurugenzi ninaemkabidhi kiti hichi leo ili kuendelea kushirikiana katika kutekeleza majukumu yetu na kuleta maendeleo katika Halmashauri ya Manyoni.



Naye Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Ndg Heri A. Kaombwe alisema; Niwashukuru sana kwa Kunikaribisha Manyoni ili kushiriki nanyi katika kutumikia Nchi hii ili kuhakikisha tunasonga mbele katika kuleta maendeleo, Ninaahidi kushirikiana nanyi lakini pia kufata nyayo za Mkurugenzi mstafu katika kuhakikisha Halmashauri inasonga mbele.






Imetolewa na; 


Kitengo cha Mawasiliano Serikalini ;

Halmashauri ya Manyoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.