• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

Manyoni Yashuhudia Uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 64 ya Jeshi la Magereza Tanzania kwa Shamrashamra na Michezo

Imewekwa Mtandaoni mnamo: August 24th, 2025

Manyoni Yashuhudia Uzinduzi wa Maadhimisho ya Miaka 64 ya Jeshi la Magereza Tanzania kwa Shamrashamra na Michezo


Manyoni, 23 Agosti 2025 Jeshi la Magereza Tanzania leo limezindua rasmi Maadhimisho ya Miaka 64 tangu kuanzishwa kwake, katika tukio lililofanyika Gereza Manyoni kwa kuambatana na michezo na ushirikiano wa karibu kati ya magereza na jamii.


Mgeni rasmi katika tukio hilo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Mhe. Dkt. Vincent Mashinji, ambaye alipongeza Jeshi la Magereza kwa mchango wake mkubwa katika urekebishaji wa tabia, usalama wa jamii, na maendeleo ya kijamii kupitia ushirikiano wa karibu na wananchi.


Maadhimisho hayo yalianza saa 12:00 asubuhi kwa jogging ya pamoja, iliyojumuisha askari, wananchi na wadau wa maendeleo, kuanzia viwanja vya mpira wa miguu na Baadaye, bonanza la michezo mbalimbali lilifanyika, likiwemo mpira wa miguu, kuvuta kamba, Mbio za Mita Mia, kujaza maji kwa kijiko kwenye glasi, kukimbiza kuku,Kupima Ukimwi, pamoja na Uchagiaji wa Damu Salama kama ishara ya mshikamano na afya kwa wote.


Katika hotuba yake, Mhe. Mashinji alisisitiza umuhimu wa kuimarisha mahusiano kati ya Jeshi la Magereza na jamii, akisema: “Kauli mbiu ya mwaka huu inatufundisha kuwa urekebishaji wa wahalifu hauishii ndani ya kuta za gereza pekee, bali ni jukumu la jamii nzima kushiriki katika kuwajenga upya.”


Maadhimisho haya yanaendelea kote nchini yakiwa na kauli mbiu: “Miaka 64 ya Jeshi la Magereza Tanzania kwa ushirikiano wa Magereza na Jamii kwa Urekebishaji Wenye Tija.”


Tukio la leo limeacha ujumbe wa mshikamano, nidhamu na matumaini kwa jamii ya Manyoni, huku likitoa fursa ya kuimarisha afya na mahusiano kati ya vyombo vya ulinzi na wananchi.


@magerezatanzania @singidars @halimadendego @drmashinjivincent @anastaziatutuba @tembo_digital_tv

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani Yang’ara Solya Sekondari

    October 11, 2025
  • Wananchi Kintinku, Maweni na Makanda Wapewa Elimu ya Umiliki wa Ardhi – “Tuwe na Hati Miliki” Asema Afisa Ardhi

    October 09, 2025
  • Kamati ya Ushauri wa Kisheria Yatoa Msaada Manyoni: “Tuko Hapa Kwa Ajili ya Haki Zenu

    October 09, 2025
  • TANGAZO MAALUM LA WANANCHI

    October 07, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.