• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU KIMKOA WILAYANI MANYONI

Imewekwa Mtandaoni mnamo: July 5th, 2024


Jumla ya miradi 47 inayohusisha sekta mbalimbali, ikiwemo elimu, afya, maji na miundo mbinu ya Barabara, yenye thamani ya zaidi ya Sh. Bilioni 100.2/-, itatembelewa, kukaguliwa, kuwekewa mawe ya Msingi na kuzinduliwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu, mkoani Singida.

Mkuu wa mkoa wa Singida Halima Dendego, alisema hayo wakati wa makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru, kitoka kwa mkuu wa mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, katika Kijiji cha Chikuyu, wilayani Manyoni.


Alisema kuwa, miradi hiyo imetekelezwa kwa gharama ya zaidi ya Sh. Bilioni 100.2/-, katika halmashauri zote saba, za mkoa wa Singida.

Dendego alizitaja halmashauri hizo kuwa ni Manyoni, Itigi, Ikungi, halmashauri ya wilaya ya Singida, Manispaa ya Singida, Iramba na Mkalama.

"Mwenge wa Uhuru mwaka huu katika mkoa wa Singida, utahusisha miradi 47 yenye thamani ya zaidi ya Sh. Bilioni 100.2/-...serikali kuu imechangia zaidi ya Sh. Bilioni 30/-, sekta binafsi Sh. Bilioni 67/-, halmashauri za Wilaya Sh. Milioni 667/-, wahisani Sh. Bilioni 1.25/- na wananchi zaidi ya Sh. Milioni 287/-," alifafanua Dendego.

Kwa upande wake kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Godfrey Mzava, katika makabidhiano hayo, aliagiza wahusika wa miradi yote itakayotembelewa, kukaguliwa, kuwekewa jiwe la Msingi na kufunguliwa, wahakikishe nyaraka na kumbukumbu zote muhimu za miradi husika, zinakuwepo saiti.


"Niwaombe viongozi na wote wanaobusika na miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru, tukute kumbukumbu za nyaraka na vielelezo halisi vyote, zikiwemo halisi na zile za kopi kule kule eneo la saiti...wataalamu wawepo na maelezo ya kina kuhusu mradi husika ," alisema Mzava.

Akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa mkuu wa mkoa wa Singida, tayari kuanza mbio zake wilayani Manyoni, mkuu wa wilaya hiyo, Kemilembe Lwota, alisema itakimbizwa kilomita 80.9 na kuhusika kwenye mraidi Saba yenye thamani ya zaidi ya Sh. Bilioni 2.79/-.


Kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru mwaka huu ni "Uhifadhi wa Mazingira na uchaguzi wa Serikali za Mitaa, huku mkoani Singida ukitarajiwa kuhitimisha mbio zake julai 12, kabla ya siku hiyo kukabidhiwa mkoani Manyara.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.