• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

MH MWAGISA AWAASA WANANCHI KUWA MSTARI WA MBELE KULETA MAENDELEO MANYONI

Imewekwa Mtandaoni mnamo: November 10th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Rahabu Mwagisa amewataka wananchi kuwa mstari wa mbele kuleta maendeleo kwani jukumu la kuleta maendeleo ni letu sote." Kila mmoja ajue kwamba anapaswa kushiriki shughuli mbalimbali za maendeleo ili kuhakikisha tunaleta maendeleo katika Wilaya yetu ya Manyoni"  Mh Mwagisa ameyasema haya alipokua  akihitimisha ziara yake kwa Kata ya Manyoni tarehe 09 Novemba 2022 katika viwanja vya Ofisi ya Kitongoji Mwanzi, Ziara ambayo lengo lake kuu ni kukagua miradi mbalimbali, kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa Manyoni.

Mama yetu Mh Samia Suluhu Hassani Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ametuletea fedha nyingi sana kwaajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ikiwemo Barabara, Maji, Afya, Elimu, Umeme, Kilimo na miradi mingine mingi ili tupate maendeleo katika wilaya yetu hivyo na sisi kwa nafasi zetu tushiriki shughuli mbalimbali ili kuungana na Mama yetu mpendwa Manyoni isonge mbele.Na kushiriki kwetu katika miradi hii ni kujitolea nguvu kazi katika miradi hii lakini pia kulinda na kuitunza miradi pindi inapokamilika ili idumu. Alisisitiza Mh Mwagisa.

Mh Mwagisa alisema; Mnapokua na changamoto naomba mfike katika ofisi yangu msisubiri mpaka mikutano hii ninayofanya, fikeni ili tupate suluhisho la changamoto zilizoko kwenye jamii inayotuzunguka, Siku ya jumatatu mpaka jumatano ninakuepo Manyoni lakini Alhamisi na ijumaa nakuwa Itigi na hii ni kwasababu mnatambua Wilaya ya Manyoni tuna Halmashauri mbili,Hivyo niwaombe sana mfike kwa kuleta changamoto lakini pia Ushauri ili kuleta maendeleo ya Manyoni.



Afisa Tawala Wilaya Bi Leila Sawe akitambulisha Viongozi na Wataalamu mbalimbali walioongozana na Mkuu wa Wilaya.


Mh Mwagisa akizungumza na wananchi katika viwanja vya ofisi ya kitongoji Mwanzi.



Mh Diwani Kata ya Manyoni Mh Mapunda  Alimshukuru Mkuu wa Wilaya Alisema; "Kwa niaba ya Madiwani viti maalumu na wananchi wa Kata ya Manyoni kwa ujumla Tunakupongeza na kukushukuru kwa Ziara yako ambayo imeleta matokeo chanya kwa kusikiliza kero zetu na nyingi kuzitatua papo kwa papo lakini zingine zikiendelea kupata ufumbuzi, Kweli kina mama mnaweza.Tunakukaribisha tena na tena na Tunakuahidi yale yote uliyosema tuyasimamie tutayasimamia na kuhakikisha tunashirikiana kwa pamoja ili kuleta maendeleo ya Manyoni kwa pamoja.Nawakaribisha wananchi wote wa manyoni katika ofisi yangu ya Diwani kata ya manyoni ili tuendelee kutatua kero mbalimbali za wananchi lakini pia kwa ushauri .



Viongozi mbalimbali na Wataalamu waliohudhuria mkutano



Wananchi wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Wilaya Mh Rahabu Mwagisa


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.