• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

MKURUGENZI ATEMBELEA UJENZI WA JENGO LA X-RAY KITUO CHA AFYA NKONKO

Imewekwa Mtandaoni mnamo: September 28th, 2022

Melekzedeck O. Humbe Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni tarehe 27 septemba 2022 ametembelea kituo cha Afya Nkonko kuona ujenzi wa jengo la x-ray ulipofikia na kuona namna jengo hilo litakavyomaliziwa kwaajili ya kuanza rasmi matumizi


IMG_0616.JPG

Ujenzi wa jengo la X-ray



Mkurugenzi amempongea Dr Mwakanyamale mganga mfawidhi wa kituo cha Afya Nkoko na timu yake  kwa ukusanyaji wao wa mapato kiasi cha shilingi milioni 1 na laki 5 au Zaidi kwa mwezi, unaozingatia taratibu za kiserikali yani kulipa kwa njia ya mfumo na fedha kuwekwa banki kwa wakati ambapo utaratibu huo unapelekea kudhibiti utoroshaji wa Mapato.

Mkurugenzi amewataka watumishi wake kuwa waadilifu katika kuwahudumia wananchi na kuhakikisha dawa zinakuwepo za kutosha katika kituo kila wakati na vifaa vyote vitumike ili kuepuka vifaa kuharibika kutokana na kukaa muda mrefu bila kufanya kazi.


IMG_0638.JPG

Chumba cha Upasuaji kituo cha Afya Nkonko


Aidha DMO alikua na haya ya kusema”Nampongeza Afisa Mtendaji wa Kata ya Nkonko Baraka Chanzi kwani wameshirikiana vema katika kituo hiki kuweka mikakati kuhakikisha wagonjwa wa msamaha wanapata barua kutoka kwenye vijiji vyao maana wao ndio wanawatambua vizuri walengwa wa huduma ya afya kwa msamaha katika jamii.


Mkurugenzi pia amepita katika zahanati ya Mpola,Chikombo,Heka na Chikola na kukagua mazingira ya zahanati hizo pamoja na uwepo wa dawa,Alisema”msicheze na dawa hakikisheni mnatoa dawa kwa usahihi na mjaze kumbukumbu na pia taarifa za vituo na zahanati zitumwe kwa wakati ikiwemo taarifa za uhitaji wa dawa ,sambamba na hili Mkurugenzi alitoa maagizo zahanati na vituo vya afya vizingatie usafi kwani kuna baadhi ya zahanati usafi hauridhishi na atapita wiki ijayo siku ya jumanne tarehe 4 octoba.


IMG_0654.JPG

Mkurugenzi akikagua stoo ya dawa Zahanati ya Mpola

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.