• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

“MKUU WA MKOA WA SINGIDA MHE. P. SERUKAMBA AMEONGOZA ZOEZI LA UPANDAJI MITI WILAYA YA MANYONI”

Imewekwa Mtandaoni mnamo: January 22nd, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Peter Serukamba amewaongoza viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi wa Manyoni kwenye zoezi la Upandaji miti na utunzaji mazingira lililofanyika kwenye kata zote za Barabara kuu kutoka Singida kwenda Dodoma (Aghondi mpaka Kintinku) tarehe 21 Januari 2023.



RC Serukamba amesema; Tunapanda miti hii ili Kupendezesha mazingira yetu lakini pia kwaajili ya kupata hewa safi na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi yanayotokana na kukosekana kwa miti katika maeneo yetu. Ombi langu kwenu viongozi wenzangu pamoja na wananchi Tusiishie tuu kupanda miti hiii leo tuendelee kuwa na hulka ya upandaji miti mara kwa mara na Tuitunze miti hii”.

Natoa Wito kwa Wafugaji kutokupitisha Mifugo yao sehemu ambazo tumepanda miti na kuchungisha miti hii, atakaefanya hivyo apigwe faini ya elfu Hamsini (50,000) kila mti na kisha apande miti hiyo aliyochungisha, Viongozi wenzangu naomba mlisimamie hili kwa kuhakikisha mnaweka sheria hizi ndogo na kuzifanyika kazi ili tuhakikishe wananchi wote wanashiriki zoezi hili kikamilifu na miti tuliyopanda inakua vizuri na tunafikia lengo letu tulilojiwekea la kuboresha mazingira yetu.Amesisitiza RC Serukamba.

Sambamba na hilo Rc Serukamba amepiga marufuku vitendo vya wananchi kukakata miti ovyo hali ambayo inahatarisha mazingira yet una kuagiza hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa wananchi watakao kata miti yetu ovyo.

Nae Mkuu Mkuu wa Wilaya ya manyoni Mhe. Rahabu Mwagisa wakati akishukuru baada ya zoezi hili kuhitimishwa alisema; Tunakushukuru Mkuu wetu wa Mkoa kwa kutuongoza katika zoezi hili la Upandaji miti ambalo mpaka sasa Zaidi ya miti laki mbili imepandwa katika maeneo mbalimbali wilayani hapa.Tunaahidi kwa kushirikiana na viongozi wote kuhakikisha zoezi hili linakua endelevu na miti inasimamiwa ili ikue vizuri.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Halmashauri ya Manyoni

22/01/2023

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.