• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh. Rahabu Mwagisa Solomon amezindua kampeni ya Upandaji miti

Imewekwa Mtandaoni mnamo: December 19th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh. Rahabu Mwagisa Solomon amezindua kampeni ya Upandaji miti katika halmashauri ya Wilaya ya Manyoni leo Tar 19.12.2018, zoezi ambalo limefanyika katika eneo la Stand kuu ya mabasi ya mji wa Manyoni.

Mkuu wa wilaya aliambatana na Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Ndg. Charles E. Fussi, Katibu Tawala wa Wilaya ya Manyoni Ndg. Charles Mkama pamoja na Viongozi mbalimbali wa Vijiji, Kata na Wilaya ambapo wote walishiriki katika zoezi na zaidi ya miti 100 imepandwa katika eneo hilo.

Mkuu wa wilaya ya Manyoni Mh. Rahabu Mwagisa Solomon amewasisitiza viongozi wa vijiji na vitongoji kusimamia upandaji na utunzaji wa miti kila kaya na liwe endelevu kwa faida ya vizazi vya sasa na vya baadaye. Katika kuhimiza utunzaji wa miti na mazingira, Mkuu wa Wilaya ameonya utupaji wa taka ovyo pamoja na ukataji wa miti ovyo ambao umekuwa ukiharibu mazingira, na amewaonya wanaofyeka maeneo bila kufuata utaratibu kuacha mara moja.

Akizungumza kuhusiana na masuala ya kilimo Mh. Rahabu amewaomba wakulima katika kipindi hiki cha mvua kulima mbegu bora hasa kwa kufuata ushauri wa kitalamu kutoka kwa maafisa wa kilimo wa wilaya na amewahimiza wataalamu wa kilimo kutembelea kwa wananchi ili kujua changamoto zao na kuwashauri namna bora na sahihi ya mambo ya kilimo.

Mkuu wa wilaya pia ameisisitiza jamii kujitokeza kushiriki katika shughuli za kijamii hasa katika suala la elimu ili kuhakikisha wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza wanaenda shule ifikapo januari, ambapo kwa mujibu wa taarifa ya elimu katika halmashauri ya Wilaya ya Manyoni zaidi ya wanafunzi 2300 wamechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza kwa mwaka 2019.

Naye Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni Ndg. Charles E. Fussi ametoa wito kwa wananchi katika kupanda miti maeneo wanayoishi ili kuboresha mazingira, vilevile kutii sheria za nchi na kuonyesha ushirikiano kwa watendaji wa idara zote za halmashauri hasa kwa kushiriki katika mambo ya maendeleo pamoja na huduma za jamii. Amesisitiza kuwa iwapo kuna matukio ambayo wanaona yanawakosesha amani ikiwemo kuonewa au kunyimwa haki hasa sehemu za huduma za kijamii ikiwemo huduma ya afya, watoe taarifa ama wafike ofisini kwake, yuko tayari kupokea malalamiko ili kuhakikisha wanapata huduma bora na kwa wakati sahihi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA NAFASI YA UTENDAJI WA KIJIJI MANYONI DC May 25, 2022
  • JINSI YA KUPATA SHAMBA LA KOROSHO MSIMU WA 2019/2020 May 13, 2019
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWAJA October 28, 2021
  • Fomu ya Maombi ya kupimiwa mashamba ya Korosho April 18, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MAHENGE ASISITIZA USHIRIKIANO

    May 11, 2022
  • MANYONI SASA KUUZA KOROSHO KWA NJIA YA MNADA

    April 05, 2022
  • mil.300 kujenga jengo la dharula

    March 16, 2022
  • SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

    March 10, 2022
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni

    Sanduku la Posta: S.L.P 60, Manyoni

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 712 028027

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.