• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Rahabu Mwagisa ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya Afya ya msingi ya Wilaya ya Manyoni akizungumza na washiriki wa mafun

Imewekwa Mtandaoni mnamo: October 1st, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Rahabu Mwagisa ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya Afya ya msingi ya Wilaya ya Manyoni akizungumza na washiriki wa mafun

Wananchi Wilaya ya Manyoni wametakiwa kuunga mkono jitihada za Serikali katika kudhibiti ugonjwa wa uviko 19 kwa kuendelea kuzingatia miongozo inayotolewa na Wizara ya Afya.

Hayo yamesemwa tarehe 30/9/2021 na Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Rahabu Mwagisa ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya Afya ya msingi ya Wilaya ya Manyoni katika kikao kazi cha kamati ya afya ya msinigi ambacho kiliwakutanisha wajumbe wa kamati hiyo kukumbusha kuhusu ugonjwa wa uviko 19.

Mwagisa aliwataka washiriki kuwa makini kupokea mafunzo yanayotolewa na wataalamu kuhusu masuala ya uviko 19 ili wakawe mabalozi wazuri kwa wananchi.

“ndugu washiriki hakuna ambaye mpaka sasa hana elimu juu yajanga hili la uviko 19 kikubwa sasa ni kutafuta namna ya kuweza kuwahamasisha wananchi ambao bado wamefungwa kiufahamu kuhusu janga hili hivyo basi niwaombe sana elimu tunayoipata sisi hapa tukaitumie kwa wananchi pia ili kuwafanya kuweza kuunga mkono jitihada za Serikali katika kutokomeza ugonjwa huu”alisema Mwagisa

Mwagisa alisema kuwa wapo baadhi ya watu wametumia njia nyingi sana kuupotosha uma kuhusu uhalisi wa chanjo ili kuondoa mwamko wa chanjo kwa wananchi kutokana na hili amewataka washiriki kubeba jukumu la kuwaelimisha kuweza kupata chanjo kwa hiari yao weneyewe.

“niseme tu tunalo jukumu kubwa sana la kuwaelimisha wananchi kupata chanjo kwa hiari yao wenyewe kwani kwa kutoa elimu juu ya chanjo hii tunaweza kufuta kabisa dhana mbaya ambayo wananchi wengi wamekuwa wakipotoshwa”alisema Mwagisa.

Aidha aliwataka kuweza kutafuta mbinu mbadala za ushawishi ili kuwawezesha wananchi kuipokea chanjo hii ikiwa ni pamoja na wale ambao hawajapata chanjo basi kuweza kutumia fursa hyo kuchanjwa

Mwagisa amewashukuru Viongozi wa Dini na Wazee maarufu kuhudhulia mafunzo hayo amewaagiza kwenda kutoa elimu huko makanisani, misikiti na hata kwenye mikusanyiko mbalimbali ya watu kwa namna nyingine

Mwagisa amewaomba viongozi wa dini kama ikiwapendeza basi kutoa fursa wa wataalamu wa chanjo kuweza kufika maeneo ya sehemu za ibada pia ili kuweza kutoa elimu na hata kutoa chanjo kwa wananchi.

Naye muwakilishi wa Mkoa amesema kuwa chanjo ya jonssen inasaidia mtu asiweze kupata au kupelekea umauti hivyo amewataka washiriki kwenda kusisitiza hilo kwa wananchi.

Kwa maelezo zaidi bofya hapa chini...

UVIKOOOOO.docx

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.