• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

MRADI WA SHULE BORA KUBORESHA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI-MANYONI

Imewekwa Mtandaoni mnamo: December 1st, 2022

SHULE BORA ni mradi wa Serikali unaofadhiliwa na UKAID wenye lengo la kukuza na kuboresha ufundishaji na ujifunzaji mashuleni ili kuboresha Elimu na kuhakikisha watoto wote wa kitanzania wa kike na wa kiume wanapata elimu bora. 

Mradi huu unatekelezwa katika Mikoa Tisa(9) Tanzania bara yani Katavi, Rukwa, Dodoma, Singida, Mara, Simiyu, Pwani, Tanga na Kigoma. Mkoa wa Singida Manyoni ni moja ya Halmashauri ambayo mradi huu wa Shule bora unatekelezwa kwenye shule mbalimbali.



Viongozi mbalimbali wa Mradi wa Shule Bora wamefika Wilayani hapo na kuendelea kuutambulisha mradi huu pamoja na kuona maendeleo ya miradi mbalimbali ya serikali inayotekelezwa inayodhaminiwa na Serikali ya Uingereza( UKAID) 


Mkuu wa kitengo cha huduma ya jamii ubalozi wa Uingereza Bi Getrude Mapunda alisema; Nawashukuru sana Viongozi wa mahali hapa; Shule, wazazi na jamii kwa ujumla kwa ushirikiano mliouonesha katika kutekeleza mradi huu  ambao tuliwapatia fedha ili shule ipate fedha kwaajili ya kuboresha vitu kadha wa kadha shuleni hapa. Serikali ya Uingereza itaendelea kufadhili fedha ili tuboreshe Ufundishaji na kujifunza.

Nimefurahi kusikia mradi wenu ni wa Ng'ombe wanaotumika kulimia mashamba ya shule lakini pia walimu na watu wengine wakihitaji wanalipia na fedha zinaingia kwenye mfuko wa shule na kikubwa zaidi fedha zinazopatikana zinatumika kununua taulo za kike hili ni jambo zuri sana na jema. Tuangalie namna gani watoto wetu wa kike na wa kiume wanafika shuleni kupata elimu bila changamoto yoyote hii itatathimini maendeleo kwenye jamii inayotuzunguka. Alisisitiza Bi Getrude.


Nae Afisa Elimu Msingi Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Ndg Hamisi Milowe alisema; Kwa niaba ya Halmashauri  na jamii hii inayotuzunguka tunaahidi kusimamia miradi hii ya Serikali kwa udhamini wa Serikali ya Uingereza ili itusaidie kukuza na kuboresha ufundishaji na ujifunzaji ili watoto wote wa kike na wa kiume katika jamii hii wapate elimu bila changamoto yoyote Lakini pia Tunashukuru kwa kupanda miti ya matunda ambayo itasaidia watoto kupata lishe kipindi wanapokua shuleni.






Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.