• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

"Mradi wa Shule Bora watoa mafunzo kwa walimu wa somo la Hisabati na Kingereza"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: March 17th, 2025

Katibu Tawala Msaidizi Seksheni ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Mkoa wa Singida Dkt Elipidius Baganda leo Machi 17,2025 amefungua mafunzo ya siku mbili kwa walimu wa masomo ya Kiingereza na Hisabati katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni uliopo wilayani Manyoni

Akizungumza wakati wa hotuba yake Dkt Baganda amesema “ Shule Bora wamekuwa wadau muhimu katika kushirikiana na Serikali kuinua kiwango na ubora wa elimu kwa kutoa mafunzo kwa walimu katika maeneo yetu na tunaona faida yake.


Mwenendo wa ufaulu wa Mkoa wa Singida ni mzuri kwani katika mitihani ya Taifa ya darasa la Saba mwaka 2024 Somo la kingereza shule 25 zilifaulisha kwa Asilimia mia (100%) aidha shule 495 Ufaulu wake ni chini ya Asilimia 50 (50%) na shule 11 hakuna mwanafunzi aliyefaulu na kwa somo la hisabati shule 280 Ufaulu ulikua chini ya Asilimia 50 (50%) na shule moja hakuna mwanafunzi aliyefaulu hivyo hii inadhihirisha umuhimu wa kuendelea kuimarisha mbinu za ufundishaji na kuboresha Mazingira ya kujifunzia

Sambamba na hayo Dkt Baganda amesema

"Pamoja na Mkoa kufanya vizuri katika Mitihani iliyopita tuliona bado tuna jambo la kufanya, tulifanya tathimini, katika tathmini hiyo tulibaini changamoto mbalimbali, moja wapo ni baadhi ya Shule kutokufanya vizuri kwenye masomo ya Kiingereza na Hesabu.Ninawapongeza na kuwashukuru Shule Bora kwa kukubali kutoa mafunzo haya”

Aidha, amewaasa Washiriki wa mafunzo hayo kutumia muda wao kujifunza, kwani anaamini watakapotulia na kufuatilia mafunzo hayo kwa umakini, yatakuwa na tija kwao, Shule walizotoka na Mkoa kwa ujumla.


“Ninawaomba sana washiriki kuhakikisha mnakuwa makini kusikiliza yote mnayoelekezwa na wakufunzi kwani mmekuja hapa kujifunza,kupewa uzoefu.

Kinachotakiwa mseme kweli kwa dhati kabisa.Ukipewa nafasi ya kusema funguka.Hapa tumekuja kama wataalamu wa elimu, tuelekezane. Mwisho wa Siku tupate kitu ambacho tukirudi katika vituo vyetu kitusaidie kuinua Ufaulu na hilo ndilo lengo letu.


Mafunzo haya ni Sehemu ya Utekelezaji wa Shughuli za Kielimu za Mradi wa Shule Bora zinazofadhiliwa na Serikali ya Uingereza (FCDO) kupitia Serikali ya Tanzania kwa Usimamizi wa Shirika la Cambridge Education.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.