• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

“SGR YAMWAGA AJIRA MANYONI”

Imewekwa Mtandaoni mnamo: October 20th, 2022

Mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kwa awamu inayoendelea kutoka kata ya Makutopora Wilayani Manyoni mpaka Issaka imetangaza ajira  500 kwa wananchi wa vijiji na vitongoji vinavyopitiwa na mradi huo na kigezo kikubwa ni mwananchi kuwa muaminifu, kitambulisho cha NIDA na wadhamini wawili mmoja akiwa ni kiongozi wa serikali(Mtendaji au Mwenyekiti)

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Suleiman Mwenda ameyasema hayo alipokua kwenye mikutano yake kuzitangaza ajira hizo pamoja na kutoa maelekezo ya namna ya kuomba,Mikutano huyo amefanya katika kata ya Makutopora,Saranda,Muhalala na Manyoni mjini tarehe 19 oktoba 2022.



                                                                                       Wananchi  wakimsikiliza kwa makini Mh Mwenda.

Mh. Mwenda alisema, “Raisi wa awamu ya sita Mh. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha nyingi sana katika Wilaya yetu ya Manyoni ikiwemo TSh Bilioni 20 kwaajili ya ujenzi wa bwawa kubwa la maji(Mbwasa) litakalohudumia miradi minne ya umwagiliaji,Bilioni 1.7 kwaajili ya ujenzi wa madarasa ya sekondari, mradi huu wa Reli ya mwendo kasi unaopita kwetu na miradi mingine mingi,hivyo tunaona namna gani Mh. Raisi anatupenda na kutujali wananchi wa Manyoni”.


Malalamiko yalifikishwa na Mbunge wa jimbo la Manyoni Mashariki Mh Dkt Pius Chaya kuwa wananchi wake wa vijiji na vitongoji vinavyopitiwa na mradi wa SGR wanakosa Ajira, hivyo kama serikali tukalichukua nakuliwekea muongozo ili mradi uwanufaishe wenyeji wa eneo husika kwa kuwapa wananchi ajira ndio maana leo Mkuu wenu wa wilaya nipo hapa kuwatangazia ajira hizi ambazo pia zitakua chanzo cha maendeleo ya mtu mmoja mmoja kama mtaitumia vizuri.Alisema Mh. Mwenda.


                                                                                         Mh Diwani wa Makutopora akitoa Shukrani kwa niaba ya wananchi wa Makutopora






                                                                                                                    Mh Mwenda akizungumza na wananchi

Miradi ya Serikali ifanywe kwa uaminifu ili iwe na manufaa kwa jamii na viongozi ninawaomba msimamie tupate watu wenye nguvu,waaminifu na wazalendo watakaofanya hii kazi vizuri ili kuepuka ubadhilifu unaoweza kufanywa na watu kwa kutokua waaminifu mwisho wa siku mradi unajengwa chini ya kiwango.Alisisitiza Mh. Mwenda

Kwa niaba ya wananchi Waheshimiwa madiwani wa Kata za Manyoni,saranda,makutopora na Muhalala waliishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya Mh. Samia Suluhu Hassan kwa kuleta mradi huu ambao utanufaisha wananchi wetu na tunaahidi kwa kushirikiana na watendaji wetu na wenyeviti kusimamia zoezi zima la kupata watu watakaofanya kazi hizo kwa uaminifu na kuusimamia mradi kipindi chote mpaka utakapokamilika.




                                                                          Viongozi mbalimbali kwenye mkutano akiwemo Mh Diwani kata ya manyoni



                                                              Wananchi pia walishukuru kwa fursa wanazoenda kupata kupitia mradi wa SGR


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.