• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

Spika wa Bunge Mh Job Ndugai afanya ziara ya kikazi halmashauri ya wilaya ya Manyoni kutembelea Mradi wa Korosho

Imewekwa Mtandaoni mnamo: September 14th, 2019

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai ambaye pia ni Mbunge wa Kongwa, leo tare 14 Agosti 2019 amefanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni akiambatana na Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mh. Deogratius Ndejembi, Kamati ya fedha na Mipango, kamati ya Siasa na Watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa, lengo likiwa ni kutembelea mradi wa Kilimo cha Pamoja cha Korosho cha Mkwese-Masigati na kujifunza mambo mbalimbali yaliopelekea kufanikisha mradi huu mpaka kwa hatua uliofikia.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Mhe. Rahabu Mwagisa wakati alipowasili katika Ofisi ya Wilayani hiyo katika ziara ya kikazi ya siku moja Manyoni Mkoani Singida. Kushoto ni Mbunge wa Manyoni Mashariki, Mhe. Daniel Mtuka na Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Mhe. Deogratius Ndejembi (wa pili kushoto)



Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa pili kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Ndg. Charles Edward Fussi wakati alipowasili kwa ziara ya kikazi ya siku moja Wilayani Manyoni Mkoani Singida. Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Mhe. Rahabu Mwagisa na kushoto ni Mbunge wa Manyoni Mashariki, Mhe. Daniel Mtuka



Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (mwenye kofia) akiangalia Shamba lililopo katika kijiji cha Masigati Manyoni Mkoani Singida. Spika Ndugai alioongoza kamati ya Fedha na Mipango na Kamati ya siasa ya halmshauri ya Wilaya ya kongwa katika ziara ya kikazi ya siku moja kwa ajili ya kujifunza na kubadilishana uzoefu



Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiangalia mkorosho uliopandwa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhe. Rehema Nchimbi tarehe 18 Januari, 2018 wakati alipotembela Shamba la korosho lilipo katika kijiji cha Masigati Wilayani Manyoni Mkoani Singida. Spika Ndugai alioongoza kamati ya Fedha na Mipango na Kamati ya siasa ya halmshauri ya Wilaya ya kongwa kwa ajili ya kujifunza na kubadilishana uzoefu na Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni tukio lililofanyika leo Wilayani Manyoni Mkoani Singida.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.