• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

“Tathimini ya Athari ya Mazingira yafanyika Ujenzi wa Veta Manyoni"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: April 17th, 2023


Tarehe 14 Aprili 2023 Timu ya Wataalamu imefika wilayani Manyoni kufanya Tathimini ya Athari ya Mazingira kabla ya ujenzi wa chuo cha VETA kuanza,Wataalamu hawa wameanza na kikao cha ndani na Wakuu wa Taasisi mbalimbali na wakuu wa Idara na vitengo ambao ni wahusika kwenye kufanya tathimini hii kisha kutembelea Eneo ambalo Chuo hiko kinakwenda kuanza Ujenzi wake.




Dkt. Richard Kimwaga  Mhadhiri Mkuu Chuo Kikuu cha Dar-es-salam ameongoza timu hiyo ya Wataalamu kufanya thatmini ya  athari hizo za kimazingira kabla ya kuanza rasmi ujenzi wa Chuo cha VETA. Kwenye Timu hii ya kufanya Tathimini ya Athari za Mazingira wamefika wahandisi wawili wa Mazingira kutoka Chuo Kikuu cha Dar-es-salaam Mhandisi Nuhu Moto na Mhandisi Evody T. Ndumiwe.


Dkt Kimwaga amesema ”Ni matumaini yangu kuwa wote tunafahamu kuwa Wilaya ya manyoni ni Miongoni mwa Wilaya zilizopata fedha kwaajili ya Mradi wa Ujenzi wa Chuo cha VETA hivyo najua mmeupokea na mtakua tayari kutoa ushirikiano ili kuhakikisha mradi huu wa ujenzi wa VETA unakamilika kwa wakati na ukiwa na Ubora na viwango vinavyotakiwa”.

Tuendelee kutambulisha na kuhabarisha Umma juu ya uwepo wa Mradi huu lakini pia kuomba ushirikiano kwa jamii lakini pia kuwaeleza umuhimu wa uwepo wa Chuo hiki katika Mazingira yetu na zaidi ya yote kuwaomba kushiriki shughuli za ujenzi wa Chuo hiki.Alisisitiza Dkt Kimwaga.


Naye Ndg Elias Moleli Afisa Maendeleo Halmashauri ya Manyoni kwa Niaba ya Mkurugenzi amesema; “Tunaufahamu Mradi huu na tumeupokea na Kwa niaba ya Halmashauri ya Manyoni ninawahakikishia tutashiiki kikanilifu ili kuhakikisha mradi huu unakamilika kwa wakati ukiwa na ubora wa hali ya juu”

“Tunaishukuru Serikali ya awamu ya Sita chini ya Raisi wake Dkt Samia Suluhu Hassani kwa kuhakikisha Wilaya zote zinapata chuo cha VETA lakini zaidi ya yote kuridhia Wilaya ya manyoni kuwa miongoni mwa Wilaya iliyopata mradi huu wa ujenzi wa VETA kwa awamu ya kwanza hakika Tunashukuru sana.





Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.