• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

"TAWA WATAKIWA KUMALIZA TATIZO LA UVAMIZI WA TEMBO WILAYA YA MANYONI"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: November 25th, 2023

 Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Joseph Serukamba ameitaka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyama Pori Tanzania (TAWA) kuhakikisha wanamaliza tatizo la Wanyama wakiwemo Tembo kuvamia Makazi na Mashamba ya Wananchi Wilayani  Manyoni.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa  Serukamba amesema hayo katika Vijiji vya Mpapa, Simbanguru na  Nkonko wakati akisikiliza Kero za Wananchi hao .

Wananchi wa maeneo hayo wamesema kuwa kwa kipindi kirefu Wanyama hao wamekuwa wakivamia Makazi na kula nafaka ikiwemo mahindi aidha kwa kipindi cha Kilimo, Tembo uharibu Mashamba na wakati mwingine kusababisha majeruhi na vifo kwa Wananchi.

Kwa upande wake Herman Nicholaus Nyanda - Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi - Kanda ya Kati -TAWA amesema Serikali kupitia TAWA wameendelea Kufanya jitihada za kuwafukuza Tembo pindi wanapopata Taarifa za uvamizi wa Wanyama katika Makazi na Mashamba ya Wananchi.


Aidha Serikali imekuwa ikitoa kifuta machozi na kifuta jasho kwa wananchi wanaharibiwa mazao,   majeruhi na Vifo vinavyotokana na Wanyamapori hao.

Kamishina Nyanda amesema Jeshi la Uhifadhi Kanda ya Kati wametoa na inaendelea kutoa Elimu kwa Wananchi juu ya kujilinda na kuzuia Tembo kutofika katika maeneo ya Mashamba na Makazi ikiwemo kulima na kutumia pilipili, oili chafu na kuchimba mifereji ili kupunguza athari za Wanyamapori hao. Sambamba na hilo TAWA imeendaa Mafunzo Maalumu kwa Vijana waliopitia Jeshi la Akiba Kwa Kila kijiji ili wapewe Mafunzo Maalumu ya kulabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu ikiwemo Tembo.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Singida Peter Joseph Serukamba ameendelea na ziara ya kijiji kwa Kijiji ambapo katika maeneo hayo amekuwa akipokea na kutatua Kero za Wananchi, Kufikisha Salamu za Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan na kukagua miradi ya Maendeleo Katika Vijiji vyote vya Mkoa wa Singida.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.