• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

TAWA YAWAPIGA MSASA WADAU MBALIMBALI KUIMARISHA UHIFADHI

Imewekwa Mtandaoni mnamo: October 22nd, 2022

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Suleiman Mwenda  tarehe 21 oktoba 2022 amefungua warsha ya siku tatu ya mafunzo,majadiliano na kuweka mkakati juu ya namna nzuri ya kuimarisha uhifadhi kwenye mapori ya Rungwa, Muhesi  na Kizigo  inayofanyika katika ukumbi wa Cassanova uliopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.

Warsha hii imehudhuriwa na Wadau kutoka maeneo mbalimbali yani Wilaya ya Chamwino Mkoa wa Dodoma, Wilaya ya Chunya Mkoa wa Mbeya ,  Wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida ikijumuisha Halmashauri zake mbili (Manyoni na Itigi) na Wilaya ya Sikonge mkoa wa Tabora.


Wageni kutoka TAWA walipowasili Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Manyoni wakiongozwa na Kaimu Kamishna wa Uhifadhi (TAWA) Ndg Mabula Misungwi Nyanda  anayesaini kitabu cha Wageni.



Nakupongeza Kaimu kamishna na kamati yako kwa kuitisha warsha hii ya wadau mbalimbali  yenye nia ya kuimarisha uhifadhi katika mapori ya Rungwa, Kizigo na Muhesi yaliyopo katika maeneo yetu.Na kama tunavyojua hifadhi ni moja ya kivutio kikubwa katika nchi yetu na kinanyanyua uchumi wa nchi yetu, 

  • Rais wetu wa awamu ya Sita ameonesha wazi namna anavyothamini hifadhi na utalii kwa ujumla ndio maana atarekodi filamu ya "Royal Tour" ili nchi zingine zione wanyama tulionao katika hifadhi zetu na kuja kutalii hivyo na sisi tumsapoti kwa kuimarisha uhifadhi wa mapori yetu. Tufanye kazi kwa kutanguliza imani ya kutatua changamoto katika maeneo yetu na hii itatusaidia kufanikiwa katika nchi yetu na kutimiza adhima ya Uzalendo,Alisema Mh Mwenda




Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Suleiman Mwenda  akiwasili katika viwanja vya Ukumbi wa Cassanova.



Naye Kaimu  Kamishna wa  Uhifadhi (TAWA) Ndg Mabula Misungwi Nyanda Alisema, Jukumu la Kulinda Wanyama katika Mapori yanayotuzunguka ni la Kwetu sote wadau, Na pindi Wanyama wakali na waharibifu wanaofika maeneo ya makazi lazima tuwaelekeze namna nzuri ya kupunguza changamoto hii na ndio maana tumeandaa warsha hii ili mpate mafunzo mbalimbali na tupate changamoto zinazowakabili nyie ambao mnaishi karibu na hifadhi na mwisho kwa pamoja tuweke mikakati ya kuimarisha uhifadhi na kutatua changamoto hizo.





                                                  Wadau mbalimbali waliohudhuria warsha ya Uhifadhi



                                                   Mkufunzi akiendelea kutoa elimu kwa wadau wa uhifadhi waliohudhuria warsha.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.