• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

TRA Manyoni Yaendesha Semina kwa Wafanyabiashara Kuhamasisha Ulipaji Kodi kwa Hiari

Imewekwa Mtandaoni mnamo: August 20th, 2025

TRA Manyoni Yaendesha Semina kwa Wafanyabiashara Kuhamasisha Ulipaji Kodi kwa Hiari


*Manyoni, 20 Agosti 2025 – Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, imeendesha semina maalum kwa wafanyabiashara na wadau wa masuala ya kodi, kwa lengo la kuwajengea uelewa kuhusu wajibu wao katika ulipaji wa kodi na mabadiliko ya sheria mpya za kodi kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026.


wafanyabiashara wote kushirikiana kwa karibu na Mamlaka hiyo kwa kutekeleza wajibu wao wa kulipa kodi kwa hiari, akisisitiza kuwa ulipaji kodi kwa hiari ni njia bora ya kuunga mkono juhudi za serikali katika kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi.


“TRA inaendelea kuimarisha uhusiano na walipakodi kwa njia ya majadiliano ya wazi, elimu na msaada wa karibu. Tunahamasisha ulipaji kodi kwa hiari kama msingi wa maendeleo ya Taifa,” alisema Bw. Pancras.


Katika semina hiyo, Maafisa wa TRA Bw. Jamal Ngarawa Afisa msimamizi wa kodi kutoka TRA makao makuu na Bw. Zephania Mange walitoa elimu ya kina kuhusu mabadiliko ya sheria za kodi yaliyoanza kutumika katika mwaka wa fedha wa 2025/2026, ikiwemo taratibu mpya za usajili, ulipaji na marejesho ya kodi kwa njia za kidigitali.


Washiriki wa semina hiyo walipata nafasi ya kuuliza maswali, kutoa maoni na kupokea ufafanuzi wa moja kwa moja kutoka kwa maafisa wa TRA, jambo lililosaidia kuongeza uelewa na kuondoa sintofahamu kuhusu baadhi ya masuala ya kikodi.


Semina hiyo ni sehemu ya mikakati ya TRA kuendelea kuelimisha, kushirikiana na kujenga uaminifu na walipakodi, kwa lengo la kuongeza mapato ya serikali kwa njia shirikishi na yenye tija.


@tratanzania @anastaziatutuba @drmashinjivincent @singidars @tembo_digital_tv @ortamisemi @msemajimkuuwaserikali

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani Yang’ara Solya Sekondari

    October 11, 2025
  • Wananchi Kintinku, Maweni na Makanda Wapewa Elimu ya Umiliki wa Ardhi – “Tuwe na Hati Miliki” Asema Afisa Ardhi

    October 09, 2025
  • Kamati ya Ushauri wa Kisheria Yatoa Msaada Manyoni: “Tuko Hapa Kwa Ajili ya Haki Zenu

    October 09, 2025
  • TANGAZO MAALUM LA WANANCHI

    October 07, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.